Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Exclusive interview: Online dating(uchumba-ndoa)

Sijawahi ila nina mifano kadhaa kupitia rafiki zangu
Labda kwanini haujawahi? Hakuna mwanaume aliyejitokeza mtandaoni na kukutongoza au wanakuja wasiokidhi vigezo unawakatalia? Maana kwa ulivyo maarufu hapa lazima utakuwa umetongozwa tu.

Hongera kwa marafiki zako kama mahusiano yao yanaenda vizuri.
 
Ningependa nikutane na mtu iwe love at the first sight,haya mambo ya online dating mtu ana ghairi mawawazo baada ya kukuona live. Wakati huo umepoteza muda mwingi kuchat na kuongea kwenye simu.
 
Labda kwanini haujawahi? Hakuna mwanaume aliyejitokeza mtandaoni na kukutongoza au wanakuja wasiokidhi vigezo unawakatalia? Maana kwa ulivyo maarufu hapa lazima utakuwa umetongozwa tu.

Hongera kwa marafiki zako kama mahusiano yao yanaenda vizuri.
hata sijui nianzie wapi naishkuru jf nina baadhi ya watu wamevuka mpk urafiki nipo wananipenda na tunapendana sana

bamdogo maswali hayajaisha nataka kwenda kulala
 
hata sijui nianzie wapi naishkuru jf nina baadhi ya watu wamevuka mpk urafiki nipo wananipenda na tunapendana sana

bamdogo maswali hayajaisha nataka kwenda kulala
Wow, kumbe kuna watu mnapendana na mmejuana kupitia JF HONGERA japo umetuachia maswali mengi.

Maswali bado bado. Naomba univumilie kidogo.

Unahisi ni changamoto zipi mtu hukumbana nazo kwa mapenzi yaliyoanzia kupitia mtandaoni? Zinaweza kuepukika? How
 
Back
Top Bottom