^^
Hutamuacha kwa sababu ni muaminifu lakini utamsaliti kwa sababu utavutiwa na wenye pesa kutafuta security kwa wanawake wenzio!
Prove me otherwise
^^
Hapana kama the guy hayupo naive sasa ya nini niende seek security kwa kuimpress my girlfriends siwez
tatizo ambalo lawatatiza nyinyi ndugu zetu wa kiume hampendi sijui niseme hamuwezi kutusoma sisi wanawake maana ukimjua lady wako anataka nini hata siku moja hawezi kukuona we unaboa i personally i cant date a man hu is not talkative hatutawezana
mjue how to make yur lady smile hato cheat hata mkigombana atajua zile siku njema mlizokua nazo zitawarudisha