Mkuu nimekupata vyema sana^^
Eiyer usiumize akili wanawake wa jf ndo wako hivo..mara pesa hawataki mara wanataka,,ukitaka kuwajua tazama mkufu..ukiuweka hivi unaegemea kule,ukiweka kule unarudi huku.
Amini wanachotenda majumbani na mitaani japo nyumba zinaficha mengi.
^^
uzinifu mbaya bwana inauma ukijua mumeo anagawa nje mali yako acha kabisa.akiwa safi kipande hiyo then maswala ya pesa na maamuzi tutakaa tuongee kumuacha si suluhisho kwani unaweza kumuacha ukapata mwenye pesa na usiwe na amani.
ukiona mtu kamuacha mume wa hiyo ujue kuna akichokifata na si mapenzi ya dhati.
na huyo goigoi hope anafundishika mana kama hafundishiki na hataki kutafuta maendekeo huo ni msala kwa kweli
^^
Wanawake huvutiwa sana na mwanaume mwenye wanawake wengi hutaka kujua wanachokosa kwa walio wao!
Lakini wanaume huchukia mwanamke mwenye mwanaume wengi kwa hofu ya kulinganishwa.
Cc: Lady doctor mimi49
^^
Bora wewe umesema ivo!
Haya Babu ngoja waje ili niwape maelezo watakayoyataka!
Mimi sitaki kusikia kabisa habari za mwanaume mwenye wanawake wengi mwanaume wangu ni wangu mimi tu kushare na mtu siwezi nina wivu sana!^^
Wanawake huvutiwa sana na mwanaume mwenye wanawake wengi hutaka kujua wanachokosa kwa walio wao!
Lakini wanaume huchukia mwanamke mwenye mwanaume wengi kwa hofu ya kulinganishwa.
Cc: Lady doctor mimi49
^^
Yap!! Believe it or not!!Really?!!!!!!!!!!!
Mimi sitaki kusikia kabisa habari za mwanaume mwenye wanawake wengi mwanaume wangu ni wangu mimi tu kushare na mtu siwezi nina wivu sana!
Kwanini jamani?^^
Mmmm! Angalia usivunje keyboard Maana lol
^^
Mimi sitaki kusikia kabisa habari za mwanaume mwenye wanawake wengi mwanaume wangu ni wangu mimi tu kushare na mtu siwezi nina wivu sana!
Hahah japo haimaanishi kuwa ni kweli sina mchango!!