Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,193
Akiamungu am speaking frankly from my heart pesa si kila kitu so long hatutaenda kuwa omba omba yanini nitake makuu?once a man sio mtu wa totoz lazima revenue yake itasomeka maana atakuambia i did this and planning to do this kwa mwanamke mwenye akili atamwambia sasa hapa itabidi tufanye hivi na ata kua hana expenditure za kipuuzi so success itakuja labda mungu awe katupanga awe masikin na nna imani mungu si mchoyo
^^
Hutamuacha kwa sababu ni muaminifu lakini utamsaliti kwa sababu utavutiwa na wenye pesa kutafuta security kwa wanawake wenzio!
Prove me otherwise
^^