Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Hilo ni chaguo lako wewe lkn fact bado ipo pale pale haibadiliki!!

Tukienda kwenye fact utashindwa vibaya trust me!

Kwenye suala la mapenzi na mahusiano mwanamke ni kituko sana
Ikitokea akawa tofauti hushangawa sana!
 
hahaha Eiyer hapa unataka kusema siye hatuconcentrate kwenye familia sio

orait,,,lakini ujue bado napendwa tu...jiulize kwa nini?

CC AshaDii gfsonwin DEMBA

Ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaa!!!!!
Naona umeamua kuwaweka na "wake" zako kuonesha msisitizo!
Lakini kumbuka kuna kuishi kimazoea tu kwakuwa wengine wameshakuwa watu wazima wanaona kuanza mambo ya divorce inakua haifai

So umekubali hilo la kutokutulia?
 
Wewe bwana acha utani.

Labda kama kuna wanaume siku hizi ambao wanaendeshwa na eotrogen hormone...mwanamume mwenye testosterone inayoflow vizuri katika damu haweza kukubali uzezeta...

May usema wako under limbwata...which I don't believe in anyway!!

Babu DC!!

You may not believe but that does not mean they don't exist!
Trust me Babu hawa watu wapo

Are you saying that limbwata halipo?
 
Kumbe kinachoapply kwangu tu ndo nna haki ya kukisema! Kha... kwani naishi kwenye jamii yangu pekee, sioni wala sijifunzi kupitia kwa wengine..... SMFH...
Huwezi kuzungumza kwa niaba ya wanaume wote nina uhakika ni wengi ambao wana msimamo tofauti na wako wa kwamba mume si wa mmoja!!!
 
Mimi sioni tatizo hapa maadamu ,mapenzi,heshima ,n.k,vipo acha woga ,jipe moyo ila jipange na wewe kuongeza kipato ,kila la kheri.
 
Kama vile unavyoinjoy kuongea na mimi...LOL!

Kiukweli kuna mambo ambayo mnatakiwa muwe pamoja kwenye mahusiano
Lakini kikubwa ni kuwa sio mwenzako anawaza kula wewe unawaza kulala hiyo ni mbaya sana!

hahaha lol ndio yeah mutual understanding makes a perfect relationship
 
Tukienda kwenye fact utashindwa vibaya trust me!

Kwenye suala la mapenzi na mahusiano mwanamke ni kituko sana
Ikitokea akawa tofauti hushangawa sana!
Fact:nimemaanisha yale niloyasema mimi sio hayo unayoyafikiria wewe!!
 
Fact:nimemaanisha yale niloyasema mimi sio hayo unayoyafikiria wewe!!

Ok!
Kuna kitu kinaitwa nadharia ya ukweli
Hii inasema kuwa ukweli ni kile kinachosemwa kikakubaliana na hali halisi

Kwa muktadha huu unadhani unachosema kinakubaliana na ukweli?
Kama hakikubaliani na ukweli hiyo inamaana sio kweli

Tupo pamoja?
 
hahaha lol ndio yeah mutual understanding makes a perfect relationship

Ok!
Can i buy you a drink tonight....????....LOL!

Ki uhalisia mwanamke ndio msingi wa karibu asilimia 80 ya uhai wa ndoa,lakini kama atasimama kwenye nafasi yake ya uanamke,sasa kama mnataka kusimamia na ya mwanaume ili muipate furaha ndoa zitakufa sana

Labda tuwe mazuzu kama anavyosema Babu Dark City !
 
Last edited by a moderator:
Ok!
Kuna kitu kinaitwa nadharia ya ukweli
Hii inasema kuwa ukweli ni kile kinachosemwa kikakubaliana na hali halisi

Kwa muktadha huu unadhani unachosema kinakubaliana na ukweli?
Kama hakikubaliani na ukweli hiyo inamaana sio kweli

Tupo pamoja?
Kina ukweli kwangu mimi!!
 
Ok!
Can i buy you a drink tonight....????....LOL!

Ki uhalisia mwanamke ndio msingi wa karibu asilimia 80 ya uhai wa ndoa,lakini kama atasimama kwenye nafasi yake ya uanamke,sasa kama mnataka kusimamia na ya mwanaume ili muipate furaha ndoa zitakufa sana

Labda tuwe mazuzu kama anavyosema Babu Dark City !

Hahah LoL thanks for the drink

Sure a man to be a man sio kuwa ana provide ila hata ile sauti tu ya ukuonyesha kuna mwanaume ndani its perfect he has to have a say in the house hata kama nitatoa dosh
 
Last edited by a moderator:
Hahah LoL thanks for the drink

Sure a man to be a man sio kuwa ana provide ila hata ile sauti tu ya ukuonyesha kuna mwanaume ndani its perfect he has to have a say in the house hata kama nitatoa dosh

Sasa huyo hapo juu ana sauti?
 
Back
Top Bottom