Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Hata mimi pia naona unaenjoy!!Vipi kama naenyoj?......LOL!
Hata mimi pia naona unaenjoy!!Vipi kama naenyoj?......LOL!
mkuu 'tunaonewa sana'
we Eiyer unamfanza nini hazibandi Kaizer mbona analalamika?Ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaa!!!!!
Naona umeamua kuwaweka na "wake" zako kuonesha msisitizo!
Lakini kumbuka kuna kuishi kimazoea tu kwakuwa wengine wameshakuwa watu wazima wanaona kuanza mambo ya divorce inakua haifai
So umekubali hilo la kutokutulia?
usalama upo sana tu.
Huachi halafu umekaa kama mwanasheria fulani hivi ha ha ha najiona kama nipo court room!!Ok!
Lets go......!!
KASWALI KALE KANAHITAJI JIBU!!!!
Wewe iko happy shea ile kitu na wenzako?
Hapana never!!!!!!!!
I wish I get that kind of man
^^
Ila mwanamke akienda nje haiumi?
^^
Sasa huyo hapo juu ana sauti?
Huachi halafu umekaa kama mwanasheria fulani hivi ha ha ha najiona kama nipo court room!!
I want to give you an offer ili tuongee zaidi, mimi penda wewe vile unafikiri.
Eid mubarak shost!!!Nimechelewa Offer!!!!au nisubiri hadi weekend lol
Eiyer, nitamuheshimu huyu baba na kumpenda kupita maelezo. Kujiendeleza kote huko pia kwaweza kuwa kumechangiwa na presence yake. Some blessinga are because we relate with some people. Kuamua kwa kuchelewa ni weakness tu, I am never looking for a perfect man, they never exist.
Kwahio wewe pia mwanasheria?Kwenye familia yetu kuna historia hiyo ya sheria
Dingi alikuwa na kazi hiyo
So ni kama maji kufuata mkondo japokuwa mimi niliishia darasa la 4!
So,where is my answer?