Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,919
- Thread starter
- #181
:focus:
Mwanamume wa namna hiyo umemuona wapi??
He is by no doubt a time bomb....
Kama mwanamke wa namna hiyo angekuwa binti yangu au mjukuu wangu, ningemwambia atoke nduki kama kaumwa na manyigu!!
Babu DC!!
Babu hebu soma maoni ya wanawake humu halafu ufukiri tena!
Ndivyo watakavyo
Huenda ndio sababu ndoa nyingi zinavunjika siku hizi
Wanataka mandondocha!