Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Ewe mwanamke hebu njoo unipe jibu hapa!!!!!!

Opss what!!!!!!

Hahahahahaaaa!
Gud qn!!
...
Kukimbia tatizo sio kutatua tatizo!!!
Kama ulivyosema hakuna mkamilifu, unajua huyo mwengine ungemkuta na weakness gani?????????
...
Kuna msemo unasema "Mbwa ukimjua jina hakupi tabu!"
hahahaha!
Waukumbuka huu?
Mwanaume hata awe na akili kiasi gani, ni lazima atapata athari za kisaikojia pale akiwa na kipato kidogo kuliko mkewe! Hii hutokana na hicho unachokiita NATURAL LEADER!
Yap! Usipochukua hatua atazidi na kuzidi kuwa bwe.ge!

Fahamtum!!!!
...
Kwanini usimfanye ajihisi superior kabla ya kuchukua uamuzi wa kumuacha????????
 
SWALI NI HILI:
Ikitokea ukapewa fursa ya kubadili mume,je utamuacha huyu?
Na kwanini?

ni kwanini ni muache?sioni kama kuna ninalo likosa kwa huyu mume salary pekee sio cha kunifanya nimuache
kama he protects, cares,loves and understand what else should i need from a man?mengine ni anasa za dunia nitaendelea na mume wang kumpenda mthamini na kumuheshimu kwa hali na mali
thats all a decent woman should need from her man
 
Wakati mwingine huwa napenda mawazo yako Aunt,but hofu yangu ni implementations...maana takwimu zinaonesha wanamama wenye contribution kubwa katika kurise family wana nyodo sana (most of em) Hamchelewi hata kuwaleta wanaume zenu reserve nyumbani...

Haswaaa,kwa hali ya maisha ilivyo sasa ni wanawake wachache sana ambao wanaweza kumpa support mume wake hata kama kipato chake ni kidogo!Ila wengi wao wakishika pesa nyingi zaidi ya mwanaume ni msala mkubwa sana!
 
Huyo angekuwa wangu mimi ningemtunza kama lulu...naprefer mwanaume mpole!na kipato sio shida madhali anaonesha kutoa mchango wake kutokana na akipatacho inatosha ...la muhimu ni mapenzi ya dhati na kuaminiana which are ++ with him so he is perfect!
 
Hapana sitamuacha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
So problem kubwa katika mahusiano ni uzinxi!! Nimeshangaa wanawake wote wana majibu yanayofanana. Hata wale tunaowaona money mongers, wamekubaliana na mwanamme wa hali ya kawaida tu, maadamu ni MUAMINIFU!!!!
 
Kuwa passive leader haimaanishi ni goigoi. Lakini pia kuna njia ya kummanipulate mtu kuelekea kwenye maamuzi. Japo binafsi napenda mwanaume ambae ni kiongozi. Hii kichwa yangu inavyopata moto, i need a man who can tell me 'sweettie, slow down on this. Lets tackle this on that other angle'.

Nijibu swali niache siasa. Sitamuacha. Utaruka majivu ukanyage moto.
Kweli?
Pamoja na ugoi goi wake?
 
Pamoja na kuwa maisha yanaendelea ila nenda class ukasome hata jioni. Dada kuna wakati atachoka kukubeba na ataamua kutafuta wa kumliwaza huko huko nje.
 
okey!! As long as nampenda mume wangu,namuelewa,2nasaidiana kujenga familia hata kama mimi ndiye mjenzi mkuu,nimekubali hali yake! hayawezi kuniboa mambo hayo zaidi ya kushauriana pale inapobidi!!

Naomba nikuulize kitu
Hivi ndoa inaimarishwa na mambo mangapi?
 
ni kwanini ni muache?sioni kama kuna ninalo likosa kwa huyu mume salary pekee sio cha kunifanya nimuache
kama he protects, cares,loves and understand what else should i need from a man?mengine ni anasa za dunia nitaendelea na mume wang kumpenda mthamini na kumuheshimu kwa hali na mali
thats all a decent woman should need from her man

I see!!!
 
Back
Top Bottom