Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,652
- Thread starter
- #421
Jamani kule unaongea nini kama sio upashkuna au ushankupe? Tatizo wanaume wengi wa hapa wataongea ila end of the day kazi kwao. Sisi tulivyofundwa ki ukweli mimi sikufundishwa kula koni, pipi mti etc.Nilifundishwa kufua, kupika, Sasa watoto wa DOTCOM, wanakula koni kisa wameona kwenye TV, hawa wandugu zetu msiotosheka mnaenda kutest zali ukirudi nyumbani umepagawa, hushikiki matusi kedekede kuwa mimi mshamba sasa tatizo la nani hapo? Kwa utu uzima wangu huu nijifunze kufanya vitu ambavyo kwangu naona hamna faidai ili kukuretain wewe? Who is responsible wandungu?
Michosho tu! mapenzi ukiyatafakari hakuna anayemtosheleza mwenzio tunaishi kwa mapenzi ya Mungu! we better keep that.
Carol,
Hapo kweli hakuna mahaba hata kidogo...Hizo elements ulizozitaja zikishapotea basi tu...Maisha yanabaki kuwa ya mazoea na malezi ya watoto!!
Nakubaliana na wewe kwamba mambo mengine ni sumu kuyajaribu tena kama umri wenye umeshachapa mwendo!