Eti hatujui... kipimo gani kinatumika?

Eti hatujui... kipimo gani kinatumika?

Jamani kule unaongea nini kama sio upashkuna au ushankupe? Tatizo wanaume wengi wa hapa wataongea ila end of the day kazi kwao. Sisi tulivyofundwa ki ukweli mimi sikufundishwa kula koni, pipi mti etc.Nilifundishwa kufua, kupika, Sasa watoto wa DOTCOM, wanakula koni kisa wameona kwenye TV, hawa wandugu zetu msiotosheka mnaenda kutest zali ukirudi nyumbani umepagawa, hushikiki matusi kedekede kuwa mimi mshamba sasa tatizo la nani hapo? Kwa utu uzima wangu huu nijifunze kufanya vitu ambavyo kwangu naona hamna faidai ili kukuretain wewe? Who is responsible wandungu?

Michosho tu! mapenzi ukiyatafakari hakuna anayemtosheleza mwenzio tunaishi kwa mapenzi ya Mungu! we better keep that.

Carol,

Hapo kweli hakuna mahaba hata kidogo...Hizo elements ulizozitaja zikishapotea basi tu...Maisha yanabaki kuwa ya mazoea na malezi ya watoto!!

Nakubaliana na wewe kwamba mambo mengine ni sumu kuyajaribu tena kama umri wenye umeshachapa mwendo!
 
Mahaba yapo tz(au ilikuwa zamani)...ila uchakachuaji au usasa unayaangamiza...tuna shida ktk mawasiliano-mapenzi sasa.. tena kubwa sana tuwe wakweli..hatuchagui maneno...mahaba yanajengwa na kauli(maneno mazuri),vitendo(vijizawadi,macho ya huba,furaha nk)...na hasa vikifanywa mapema..

Wewe Moria sasa unaleta kionjo kipya kwenye mjadala...Kufanywa mapema unamaana kabla ya kuzama bedroom au kabla umri haujaenda?

Hebu tufafanulie kidogo,
 
Mhhhh...Sasa na wewe unataka kutoa mpya,

Hivi inawezekanaje uzae watoto (siyo mtoto) na mtu yule yule kwa kubakwa??? Halafu ukae naye mpala mnaona wajukuu!!

Bwana hapo mahaba yapo hata kama siyo kwa vigezo vyenu!!

Babu walioko kwenye abusive relationships wanawezakutoa ushuhuda juu ya hili. Haki zao za ndoa zinabakwa na wanajikuta wanalazimika kuendelea kuzaa kwa kuwa tu ni wajibu wao kama mke.
 
Wewe Moria sasa unaleta kionjo kipya kwenye mjadala...Kufanywa mapema unamaana kabla ya kuzama bedroom au kabla umri haujaenda?

Hebu tufafanulie kidogo,

DC mahaba lazima yaanze mapema kabla ya kuzama room...baba ni busara arudi kwake mapema apokelewe(zawadi)...amjulie hali mkewe atamweleza yaliyojiri huko..naye ataelezwa yaliyojiri home(w'ke hupenda kusikilizwa) hapa ndipo mke huangushiwa sifa za kutosha na mumewe pamoja na chokozi mbalimbali macho yakiwamo...kwa room nako mapema ni busara kuzungumza,kusifia,KUSIKILIZA,kubembeleza nk...maandalizi haya humsaidia mume kujicontrol(45min first half)..hapa mke huangusha kilio-huba cha ukweli..
 
DC mahaba lazima yaanze mapema kabla ya kuzama room...baba ni busara arudi kwake mapema apokelewe(zawadi)...amjulie hali mkewe atamweleza yaliyojiri huko..naye ataelezwa yaliyojiri home(w'ke hupenda kusikilizwa) hapa ndipo mke huangushiwa sifa za kutosha na mumewe pamoja na chokozi mbalimbali macho yakiwamo...kwa room nako mapema ni busara kuzungumza,kusifia,KUSIKILIZA,kubembeleza nk...maandalizi haya humsaidia mume kujicontrol(45min first half)..hapa mke huangusha kilio-huba cha ukweli..

Hapo kwenye zawadi hapo mpenzi wangu ndipo palipozua makubwa...............haya ukija na mboga kwa ajili ya chakula cha jioni si ni zawadi? au wajibu?

Huko kwingine mwe.......naomba niwe mwanafunzi wako tafadhali!
 
very funny aisee.....

sijui hata wewe kwa nini tu hutaki kutuelewa. ukitimiza wajibu kama baba tutashukuru (you are a responsible hubby)
but when you go an extra mile to make your partner feel as if she is in heaven (haijalishi hiyo maili ya ziada ni ipi tofauti na majukumu ya mume) hapo ndo unapokuwa romantiki sasa. nifate mtoni unisaidie kibuyu cha maji, nitanie tanie kwa manjonjo, niite majina yatakayonifnya nijiskie mi ndo malkia wa himaya yako.....aaah acha uguruguru Bosi bana! nini huelewei hapa?
Ndiyoo...siyo Bosi tu..na sisi tumekuelewa..
 
Hapo kwenye zawadi hapo mpenzi wangu ndipo palipozua makubwa...............haya ukija na mboga kwa ajili ya chakula cha jioni si ni zawadi? au wajibu?

Huko kwingine mwe.......naomba niwe mwanafunzi wako tafadhali!

Mboga itategemea uspecial wake yaani imeletwa kama zawadi(chachandu)? la utakuwa ni wajibu tu ... zawadi ya mamaa shurti itengwe atii..na iwe na salam wakati wa kupewa..
 
Haaaaaaaaaaaaaaaa eti hawajui romance mwanajamii mi nakubaliana kabisa na dc gunia la mkaa kuku na bata dume likiongezeka mbona full mahabati maana mpaka watoto wanafidi mahaba indirect lo!ongeza na korosho pale kibaha kama ndio unatokea mbeya mweeeeeeeeeeeeeeeeee

....nadhani kwa jinsi utetezi wa kuletewa kuku na gunia la mkaa unavyoendelea hapa, mbu napata picha kinachotetewa hapa ni uhalalishwaji wa kwamba ni "wajibu wa mke" kutafuta kuni za kupikia chakula cha mumewe na familia, ndio maana siku akimuona mumewe kamtunuku kumletea gunia la mkaa ashukuru!
untitlednmmmm.bmp
mkaa-poa.jpg

....hilo la kuku, linanikumbusha "jukumu' la mke" kutafuta
matembele, kisamvu , uyoga nk kwa mlo wa familia...
na siku mume akibahatika kuleta kuku basi firigisi, paja na kidari atatengewa mume....---na watoto waambulie shingo na vipapatio huku wakiambiwa 'furahieni sikukuu yenu leo....!'
 
....nadhani kwa jinsi utetezi wa kuletewa kuku na gunia la mkaa unavyoendelea hapa, mbu napata picha kinachotetewa hapa ni uhalalishwaji wa kwamba ni "wajibu wa mke" kutafuta kuni za kupikia chakula cha mumewe na familia, ndio maana siku akimuona mumewe kamtunuku kumletea gunia la mkaa ashukuru!
untitlednmmmm.bmp
mkaa-poa.jpg


....hilo la kuku, linanikumbusha "jukumu' la mke" kutafuta
matembele, kisamvu , uyoga nk kwa mlo wa familia...
na siku mume akibahatika kuleta kuku basi firigisi, paja na kidari atatengewa mume....---na watoto waambulie shingo na vipapatio huku wakiambiwa 'furahieni sikukuu yenu leo....!'

Loh kwa tafsiri hii Mbu itanibidi tu nibwage manyanga chini na kusubiri mahaba.
 
Loh kwa tafsiri hii Mbu itanibidi tu nibwage manyanga chini na kusubiri mahaba.

....mfumo dume at 120km/h....

sio mjini sio vijijini...wa mjini ataachiwa shs 1000/= abajeti kila kitu, mkaa, ndoo ya maji, nyanya, mchele, nazi, vitunguu, na jioni mume akirudi akute chakula cha kumtosha, ale ashibe na maji ya kukoga tena ya moto yawepo bafuni...
ni juu ya mwanamke ku bargain huko na wauzaji gengeni/sokoni....

timthumb.php
...mahaba hayo!
 
....nadhani kwa jinsi utetezi wa kuletewa kuku na gunia la mkaa unavyoendelea hapa, mbu napata picha kinachotetewa hapa ni uhalalishwaji wa kwamba ni "wajibu wa mke" kutafuta kuni za kupikia chakula cha mumewe na familia, ndio maana siku akimuona mumewe kamtunuku kumletea gunia la mkaa ashukuru!
untitlednmmmm.bmp
mkaa-poa.jpg

....hilo la kuku, linanikumbusha "jukumu' la mke" kutafuta
matembele, kisamvu , uyoga nk kwa mlo wa familia...
na siku mume akibahatika kuleta kuku basi firigisi, paja na kidari atatengewa mume....---na watoto waambulie shingo na vipapatio huku wakiambiwa 'furahieni sikukuu yenu leo....!'

Mbu ni kweli tunashindwa kutofautisha wajibu na zawadi...pakiti ya karanga au korosho aliyofichiwa inaweza kuwa na matokeo mazuri kuliko hiyo migunia ya mkaa...mkaa umeisha ni wajibu baba ulishughulikie..
 
Duh..mitihani..
....mfumo dume at 120km/h....

sio mjini sio vijijini...wa mjini ataachiwa shs 1000/= abajeti kila kitu, mkaa, ndoo ya maji, nyanya, mchele, nazi, vitunguu, na jioni mume akirudi akute chakula cha kumtosha, ale ashibe na maji ya kukoga tena ya moto yawepo bafuni...
ni juu ya mwanamke ku bargain huko na wauzaji gengeni/sokoni....

timthumb.php
...mahaba hayo!
 
Wee acha tu....!!! Yaani tumeishi hadi miguu imeota kutu na nywele zimeisha kichwani...wajukuu hao wanatuimbia nyimbo kila dakika. Halafu tunaelezwa kuwa hatujui.....Ni kesi kubwa tu na laiti ningejua hakimu wa kunisaidia ningefungua kesi ya madai kwa wote wanaodai hatujui!!
Ha ha ha umepatia kabisa mie flat screen haihuu kabisa mie ni 6*6 ndo mpango mzima
 
....nadhani kwa jinsi utetezi wa kuletewa kuku na gunia la mkaa unavyoendelea hapa, mbu napata picha kinachotetewa hapa ni uhalalishwaji wa kwamba ni "wajibu wa mke" kutafuta kuni za kupikia chakula cha mumewe na familia, ndio maana siku akimuona mumewe kamtunuku kumletea gunia la mkaa ashukuru!
untitlednmmmm.bmp
mkaa-poa.jpg


....hilo la kuku, linanikumbusha "jukumu' la mke" kutafuta
matembele, kisamvu , uyoga nk kwa mlo wa familia...
na siku mume akibahatika kuleta kuku basi firigisi, paja na kidari atatengewa mume....---na watoto waambulie shingo na vipapatio huku wakiambiwa 'furahieni sikukuu yenu leo....!'

Hongera sana Brother,

Naona sasa umelielewa somo...Ningesikitika sana kama hii thread ingefungwa kabla hujakombolewa.....Waliobaki tutawakomboa kwa njia nyingine. At least wewe tumekulopoa huko ulikotaka kuzamia!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ha ha ha umepatia kabisa mie flat screen haihuu kabisa mie ni 6*6 ndo mpango mzima

Mimi nimewaeleza hawa watoto na sijui kwa nini haelewi...Kama mahaba yatarutubisha mbegu ili zizae matunda bora kwenye samba la 6x6 basi hayana maana hayo.....

Karibu sana na msaada wako kwa hili umekuwa-appreciated kuliko unavyoweza kudhani!!

Miss u so much though!
 
....mfumo dume at 120km/h....

sio mjini sio vijijini...wa mjini ataachiwa shs 1000/= abajeti kila kitu, mkaa, ndoo ya maji, nyanya, mchele, nazi, vitunguu, na jioni mume akirudi akute chakula cha kumtosha, ale ashibe na maji ya kukoga tena ya moto yawepo bafuni...
ni juu ya mwanamke ku bargain huko na wauzaji gengeni/sokoni....

timthumb.php
...mahaba hayo!

Hapa sasa unaongelea issues kama kile kisa cha Mpemba...Kwangu mimi hayo ni mahaba feki!!

Jibaba la nguvu linaacha 5000/- na likirudi linabeba mazagazaga mengine (eg. maandazi, vitumbua, ubuyu, machenza, miwa ya paketi n.k) ili mradi kila mtoto anayeenda kumpokea baba arudi ndani na kifurushi!!!!

...Hapo mama asifurahie na kuwa na mashamu shamu (yatakayokoleza mahaba) kwa nini? Labda kama ana gubu!!
 
Babu walioko kwenye abusive relationships wanawezakutoa ushuhuda juu ya hili. Haki zao za ndoa zinabakwa na wanajikuta wanalazimika kuendelea kuzaa kwa kuwa tu ni wajibu wao kama mke.

MJ1 pleeeease,

Hapa tunaongelea normal relationships na siyo hizo extremes....Hatuwezi kusema Watanzania wote ni wezi eti kwa sababu baadhi yetu tunaiba!

Hizo unazoongelea ni abnormal na kwa hiyo hapo hakuna mahaba....ama kuna biashara (win-win situation) au ukandamizaji kwa mhusika! Huo mjadala tuufanye siku ingine.

Leo tunaongelea mahaba kati ya watu ambao kila mmoja yuko happy na uhusiano unaoendelea. Swali ni kwamba anapata maximum gains katika mambo ya mahaba ?? Tuzame hapo kwanza.....!!
 
DC mahaba lazima yaanze mapema kabla ya kuzama room...baba ni busara arudi kwake mapema apokelewe(zawadi)...amjulie hali mkewe atamweleza yaliyojiri huko..naye ataelezwa yaliyojiri home(w'ke hupenda kusikilizwa) hapa ndipo mke huangushiwa sifa za kutosha na mumewe pamoja na chokozi mbalimbali macho yakiwamo...kwa room nako mapema ni busara kuzungumza,kusifia,KUSIKILIZA,kubembeleza nk...maandalizi haya humsaidia mume kujicontrol(45min first half)..hapa mke huangusha kilio-huba cha ukweli..

Hivi hata mimi na mzee mwenzangu tunategemewa kufanya hayo??? Na kama tukipiga story za vitega uchumi tunavyoandaa kabla ya kustaafu na kumalizia kwa kukumbushana enzi za ujana wetu hayo hayakubaliki??
 
Back
Top Bottom