Naomba unijibu tafadhaliKwani wewe unafikiriaje?
Loo afadhali, nilifikiri utaniambia , nauliza jibu, hahahaha kweli kabisa kila kitu napata hayo ndio mahabaHaaaaaaaa mpenzi,
Kwani wewe huoni? Nakufanyia kila kitu kama malaika halafu kweli unauliza swali kama hilo??
Loo afadhali, nilifikiri utaniambia , nauliza jibu, hahahaha kweli kabisa kila kitu napata hayo ndio mahaba
hata kama huleti maua
hahaha kweli kabisa au mtu ukisema i love you, eti hata simu hukati unasubiria jibu, wakati jibu unalijua, marudio marudio haya nayo yanaboa sanaHahahahahaha,
Siku hili swali likipata jibu chap chap au kirahis ujue kuna jambo...Ama mtu anataka biashare iishe aende zake au hataki vuvuzela...
Ni ngumu sana kulijibu kwa sababu huwa linakuwa na mitego mingi!!
Sikumbuki kama nilishawahi kulijibu katika maisha yangu yote!!
Haya mahaba yana taabu kweli...Uzuri ni kwamba tutafika jioni na jua litazama...Hapo ndiyo mwisho wa kuku kuzurura nje na kucharura charura!
hili sredi sijui limeshafikia tamati au bado linaendelea.
Sijui odm alikuwa wapi likampitia yailahi toba.
Mwenye kujua kama odm anajua kufanya romance ni mama matesha. Huyo anayejenerolaizi kwa watanzania alishamegwa na vijana wote wa kitanzania? Mzee mwenzangu hebu naomba umuulize huyo mtu. Mie sina contacts zake!
Masoko hah Babu kasema yeye na bibi huwa hawaambianagi haya makitu so hajui kama yuko romantic au hayuko!Upo kaka mbona kimya sana kwenye hii thredi haaaaaaaaaaaaaaaa namwona dc tu na mwanajamiione lo!
Masoko hah Babu kasema yeye na bibi huwa hawaambianagi haya makitu so hajui kama yuko romantic au hayuko!
Dah kwani nilikuwa nimefumba macho hii thread sijaiona. DC huyo anayewasema wanaume zetu wakitanzania hawajui mapenzi atukome kabisa tungekuwa tunalala nao na kuzaa watoto. Wanajua mapenzi sana tena nawafagilia kwa sana
masoko hah babu kasema yeye na bibi huwa hawaambianagi haya makitu so hajui kama yuko romantic au hayuko!
Haaaaaaaaaaaaaaaa eti hawajui romance mwanajamii mi nakubaliana kabisa na dc gunia la mkaa kuku na bata dume likiongezeka mbona full mahabati maana mpaka watoto wanafidi mahaba indirect lo!ongeza na korosho pale kibaha kama ndio unatokea mbeya mweeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwani na ww unategwa?hapo naelezea ukweli, kwa mfano eti kuna rafiki yangu kaachana na bf wake, kisa anaona shida anapoongea kiswahili wakati wa majambo, nikamshangaa sana, mie napenda full kiswahili,wasichana tunatofautiana
We Dena na Mzee DC msichanganye mayai na machungwa kuzaa na mtu si kipimo cha kuwa anajua mahaba! Kuna Watu wanazaa kutokana na kubakwa na wapenz/ wenzi wao lol
Masoko so na mamsap kukupikia chakula, kukufulia si ni full maromansi eh?