Eti hatujui... kipimo gani kinatumika?

boss unatabu kweli kweli yakhe .......hebu msome klorokwini vizuri labda utanielewa

watakuja hapa wengine wakupe maelezo usiwe na wasi wasi, suala lako halitakwenda bure 😛

gee..nasubiri aisee
kama bee na mjo1 wataweza kujibu haya....swali badolipo still...lol
 


mkuu kloro.....
Kwa mujibu wa majibu haya....hata la kununua gunia la mkaa linahusika hapa...
Ndio mahaba yenyewe lol
 
Mwenzenu alihiari mauti baada ya kunogewa na mahaba mjue :]

Mahaba ya dhati, yameniingia
Yangu tathliti, imenichongea
Nahiari mauti, kuliko mahaba haya

Jamani majuto, mwisho wa mahaba
Na masikitiko, na nyingi suluba
Na hiari mauti, kuliko mahaba haya
 

Hakika ya nani wewe Bacha umeongea ma-points siyo mchezo...Nilishaanza kupoteza dira na mwelekeo kwa kudhani kuwa sie wa miake ile ya 1947 hatuna chetu tena,

Kumbe bado tunayo nafasi......Ngonja nijiburudishe na huu wimbo murua hapa kwanza....

Na ukumbuke kunidai kinywaji....sawa Bacha?????

 
Last edited by a moderator:
mkuu kloro.....
Kwa mujibu wa majibu haya....hata la kununua gunia la mkaa linahusika hapa...
Ndio mahaba yenyewe lol

Gunia la mkaa na 'live chicken' inahusu sana lkn utizame huyo unaempa tu.

Manake sawa na mpenzi wako kuwa ndo kwanza katoka kufanyiwa manicure wewe unampelekea samaki apare! Mahaba yanageuka suluba
 
Hahaha hapa umenichekesha sana. Huachi! Ati jicho kaa la mgambo wa city ha ha ha
Ah Mwalim we acha tu maana hii mada kadri inavyosonga mie Mwj1 naachwa solemba. Pole mpenz wangu maana hawa hawa wanatutaka tuwe wabunifu tusiwe dull halafu bado wanazitaka aibu kama si kutufanya vikatuni ni nini? Maana Mwj1 leo nijifanye naona aibu kwa kuwa mwandani kanibusu ah ankiulizwa kwani ndo mara ya kwanza kukissiwa najibuje?! Mwe! Ah mie nshapata zero huu mtihani
 

....kiswahili hiyo inaitwa kuzini nje,.....wadhungu wanaita CHEATING.
kabla hamjakwenda mbali sana, nambieni ukweli....una link vipi great sex na romance wakati wa cheating,
halafu ukirudi nyumbani kwa mkeo/mumeo unadai shetani alikupitia?....

hapana, hakuna uwiano baina ya romance na great sex, tena na stranger---huko ni kujaribu kuhalalisha uzinifu.
hiyo ni fantasy----njozi tu!...

'kutandikiwa khanga kwenye tuta la viazi na mke wa mtu sio romantic moment bana!'....sawa sawa na mwanamke 'kumalizana' na mfanyakazi mwenziwe chooni after office hours....halafu anarudi kwa mumewe na big smile eti alipata romantically great sex with a stranger...hahhh?!.... fantasies (matamanio) sio romance (mahaba)
 
Bee ulikuwa wapi muda wote huo! Hadi The Boss anauliza masuala yasiyopatiwa majibu! Lol

Gee wee acha tu.....(si nimekuona ndo nkasema acha nipitie kidogo, nawahi gengeni mwenzio nataka kuwa romantic baadae...lol)
Maswali ya Boss yapi? Hayo ulogomea ww kuyajibu ya kuongelea vile viuongo vingine mbele yao? Mi nina mzio nayo, labda aulize mengine yanayojibika kwa kadamnasi
 
mkuu kloro.....
Kwa mujibu wa majibu haya....hata la kununua gunia la mkaa linahusika hapa...
Ndio mahaba yenyewe lol
heheh mkuu TB Mapenzi ni mechi, unatakiwa kumsoma vizuri mwenzi/ mpinzani wako. Kuna mwengine gunia la mkaa atajipakazia kijiji kizima kwamba mwaka huu kaolewa na nzungu, kuna mwengine ukimpelekea gunia la mkaa anakupa laivu "looh umeskia mie tanuri?" khaaa!
 

hii nyimbo na ile dua ya kloro...sipati picha lol
 
Hivi kweli mwalim haujawahi kuona in some cases great sex ndio inakuwa initiator ya the so called prerequisite?

Kweli kabisa, tena kwa wanaume hili suala lina-apply sana,

Yaani baada ya mavituz ya nguvu...jamaa anaandika cheki hata kama ni hewa ana atoa ahadi ya kujenga ghorofa (wakati yeye anapanga uani) au kuangusha helikopta!!
 

sasa mbona lile lingine mmejibu kwa urahisi saana..
Hili langu lina ugumu gani?
 
Mkuu Mbu hii post yako iko kiimani zaidi, kumbuka sio wapendanao wote wana imani.
Anyway, stranger niliemuongelea mimi ni yule single/single ambao hawapo commited.
 

Mbu sasa unalazimisha mambo! Lol

Mtu ana cheat wanaenda Roma kutembea, full romantic, akirudi home akimwambia wife shetani tu alimpitia, hapo kataa.

He had a perfect romantic time and I doubt if he even regret it

Kwa wazungu romance haihusiani na mapenzi na ndo maana watu wanapata romantic dinner on a first date japo kuwa walikutana kwenye Internet
 
Kweli kabisa, tena kwa wanaume hili suala lina-apply sana,

Yaani baada ya mavituz ya nguvu...jamaa anaandika cheki hata kama ni hewa ana atoa ahadi ya kujenga ghorofa (wakati yeye anapanga uani) au kuangusha helikopta!!
Dah! mstaafu wewe umenisoma vilivyo kabisa.
 
sasa mbona lile lingine mmejibu kwa urahisi saana..
Hili langu lina ugumu gani?

hilo limejivika vazi ndo maana....
Hivi wewe Bosi gunia la mkaa na kuku hai vinaongezaje mahaba? hapo hata hakuna cha uzungu wala uafrika bana, hebu nieleze nielewe
 

Aaawww Bee thanks :]

You go girl put your romance on fyah !
 

Dada heshima kwako.
Kusema wanaume wa Tz hawajui mahaba si kweli kwani hii ni to general kwa mtu analytical kuishia hapo. Kila mtu ana mpenzi au mke wake na wanfanya mapenzi regularly na kila mwanaume anafanya kumpa raha mpenzi wake kutokana na vionjo anavyopenda mpenzi wake. Huwezi kutumia vionjo ulivyompa mke wako akafurahi ukategemea ni applicable kwa kila lady. Romance ni specific term ambayo ni kwa kila mwanamke ina maana yake kwa kadiri genetic make up ya kila mtu ilivyo tofauti. Kusema wanaume wa TZ hawajui mahaba ni inatokana ufinyu wa uelewa wa mlalamikaji katika suala la mapenzi. Hii imepelekea watu wengine kuiga sex za kwenye video kwa kufikiri ndo mapenzi na wengine kujikuta wakikimbiwa na wake na wapenzi wao wa kile pale wanapotaka kuonyesha mahaba kwa KURUKA UKUTA.

ni vema tuwe makini sana kwenye suala la nini romance kwako wewe na mpenzi wako na siyo universal meaning ambayo ina mapungufu makubwa. tujue kwamba lengo la romance ni kuwafanya wapenzi walioko ktk uhusiano halali wafikie kilele cha furaha ya mapenzi kwa vionjo ambavyo vinawahamasisha(stimulate) na siyo vionjo vya kusoma kwenye vitabu au kuangalia mikanda ya ngono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…