Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Mkuu hivi unaujua uhusiano wa masolex na odinga

Ova
duuuh mkuu umetishaaaa naona tayari mkulu anajina jpya MA SOLEX.,, ana majina mwngi mara juma ponda mali mara pogba.... sometimes hua nacheka tu kua mtanzania raha saaana nchi imejawa na vituko vya kila aina hadi deni la dola bilion 190 za makinikia.....
 
Kwa Chadema hii ni kilele cha move ya kijinga na careless sana kisiasa. Wengi mtaelewa ila wachache sana wataiona haraka kabla ya wengi.
 
Madhani anawasihi sana wakenya waepuke siasa za chuki na kuchaguana kikabila.

Makabila ya Kenya ni 40+ lakini almost yote ni makabila makaksi kinoma.
Kule kuna korofi kama Wajaluo, wamasai, Wakurya, Wajita, Wakikuyu, Wameru, Wakalenjii, Wakamba.
Hawa muda wowote wanakinukisha.
Inabidi Lowasa aende kujenga amani kule.
Na wanamuheshimu sana mana naye ni mtu mvumulivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Kenyata baada ya wamasai kuapa kutokumpa kura kutokana na vifo vya utata vya Viongozi wa kmasai akiwemo waziri wa Ulinzi Hayati Nkaisery ameamua kutafta support ya Masai nje ya Kenya bt bado Hawezi kupata kura za wamasai zaidi apo EL anatafta fursa za biashara tu
Atafute mara ngapi wkt mshkaji wake Rostam Azizi yuko Kenya anapiga business muda sasa.Connection ya biashara huyo mzee hapo Kenya anayo muda mref tu.
 
Labda nikwambie kitu chadema kuunga mkono Kenyatta Wafadhili WA marekani hawatawaona tena. Urafiki wao na Raila ambaye ni binamu yake Obama ulimfanya Obama awashawishi wamarekani wawasaidie chadema kipindi cha slaa. Ndio maana chadema ilipata misaada mingi ya wazungu kwa ajili ya Obama. Sasa maadamu wamehamia kwa Kenyatta sio kesi wasubiri Kenyatta auze maziwa yake awachangie chadema. Chadema have lost a very important network. Na ieleweke kuwa chadema hakijawahi kaa mkutano mkkuu kupitisha azimio la kubadili sera za nje na kujadili hilo la chadema kuhama kutoka kumuunga mkono raila odinga na kuvunja urafiki naye na kuanzisha urafiki na Kenyatta na chama chake. Wanachama wa chadema wanaburuzwa na lowasa. Maamuzi hayo yalitakiwa yaamuliwe na mkutano mkuu wa chadema. Lowasa anaburuza wanachama ni dikiteta analotaka analazimisha liwe bila hata vikao na baraka za mkutano mkuu. Hilo la kumuunga mkono Kenyatta halina baraka za mkutano mkuu na vibaraka wake akina tundu lisu wanaojitia wanasheria nguli kwa hili wameufyata wakati liko wazi na ni uvunjifu wa katiba Ya chadema
Peleka wazimu mathare obama nvr supported odinga and nvr will do that this is simple uhuru apite ili chadema ikunikishe kwa magufuli thru kenyatta vry simple
 
Kwanini nianzishe sredi? mimi naona ameenda mbali na kakosea kwa kwenda kusimama jukwaani ktk nchi ya ugenini na kuongelea tena ku influence domestic affairs wakati yeye ni foreigner wa nchi nyingine wakati huu wa uchaguzi. Mimi nachangia maada tu hapa, sina hili wala lile.
Kipindi Magu amefanya tukio kama hili mbona hukuja hapa kusema chochote. ,,,,,EL bwana ni mwanasiasa mwenye mbinu,,,,,,,hata hivyo amebanwa asifanye siasa hapa,,,,,,unataka afanye nn?./na yeye ana kiu.na ndiyo kazi yake.
 
How do you want me to prove it is wrong when the proof is in the video and the photos?
show how wrong for Lowassa or Maguful (when he was a minister) to campaign for Uhuru or Raila respectivly..
Mbona mm sion wao wakilalamika?
Nahisi huu ni utamadun wa mda mrefu ktk siasa zetu

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
show how wrong for Lowassa or Maguful (when he was a minister) to campaign for Uhuru or Raila respectivly..
Mbona mm sion wao wakilalamika?
Nahisi huu ni utamadun wa mda mrefu ktk siasa zetu

Sent From Ikulu-Magogoni street

Our leaders openly siding with the major political opponents of the upcoming elections in Kenya [or any other place for that matter] is downright wrong on so many levels.

Tribal division and resentment run deep in Kenya.

A dispute of an election outcome can set off the powder keg of ethno-political strife where Kenyans could turn against each other. We have seen that in the past and history is always a good guide to the future.

So why do our leaders feel the need to inject themselves in others' political affairs and take sides?

There are already accusations that team Raila has a tallying center in Dar. Some members of Jubilee have already voiced concern over that. Many think, if what is being alleged is true, that that was made possible because Raila is friends with President Magufuli.

Say Raila ends up winning the election. Don't you think Jubilee will point to our country for being fully or somewhat responsible for their loss?

Or say Uhuru wins. Don't you think he and co. could look at our government with a skewed eye because we [our govt.] wanted him to lose because our president openly wanted Raila to win?

Don't you see how that could lead to a deterioration of our relatively good relations?

We have a very high potential of getting caught up in the maelstrom of their internal politics as a result of our political leaders' poor judgement.

Who Kenyans like and want to be their president is their business and not ours.
 
Mkuu hivi unaujua uhusiano wa masolex na odinga

Ova
Ni kweli sizonje ni best na odinga, ila tambua sizonje hajaenda kenya kupanda kwenye jukwaa na kuanza kumnadi odinga....tumia kichwa cha juu kubaini tofauti hiyo.
Hapa mamvi kaenda kushiriki moja kwa moja siasa za ndani za kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anapewa na nani. Kati ka nchi ya ukabila ya Kenya kabila moja na nusu zitampigia Kenyatta na makabila 142 na nusu wamesha jiandaa kwenda Canaan na Raila. Labda kuna kura zitaletwa na lowasa ambaye ameenda kumuambukiza Kenyatta ugonjwa wa kushindwa uchaguzi. Birds of a feather flock together.

Sent using Jamii Forums mobile app
Point of correction Kenya kuna makabila 44

Do you have confidence ?
 
Back
Top Bottom