mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,277
Safi Lowassa
Nikiona maoni ya Rais mpendwa huwa naona watu wenye uelewa mdogoMzee anatapa Tapa sana hapo uhuru ange mwita Rais wetu Mpendwa Magu ndo angepata kura nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu anamnyang'anya nafasi yake huku, oooh'hoo !Lowasa anajua siasa haki ya nani tena!
Hivi nyie si mnapiga vita ukabila?! Yaani Lowassa kaenda kushawishi wanamasai kumpigia kura Uhuru!!!!! Huyu mzee hajifunzi tu na siasa zake za kibaguzi. Hajasahau ya walutheri!!Ana ushawishi mkubwa sana kwa jamii ya wamasai ambao wamejazana Kenya .
Labda nikwambie kitu chadema kuunga mkono Kenyatta Wafadhili WA marekani hawatawaona tena. Urafiki wao na Raila ambaye ni binamu yake Obama ulimfanya Obama awashawishi wamarekani wawasaidie chadema kipindi cha slaa. Ndio maana chadema ilipata misaada mingi ya wazungu kwa ajili ya Obama. Sasa maadamu wamehamia kwa Kenyatta sio kesi wasubiri Kenyatta auze maziwa yake awachangie chadema. Chadema have lost a very important network. Na ieleweke kuwa chadema hakijawahi kaa mkutano mkkuu kupitisha azimio la kubadili sera za nje na kujadili hilo la chadema kuhama kutoka kumuunga mkono raila odinga na kuvunja urafiki naye na kuanzisha urafiki na Kenyatta na chama chake. Wanachama wa chadema wanaburuzwa na lowasa. Maamuzi hayo yalitakiwa yaamuliwe na mkutano mkuu wa chadema. Lowasa anaburuza wanachama ni dikiteta analotaka analazimisha liwe bila hata vikao na baraka za mkutano mkuu. Hilo la kumuunga mkono Kenyatta halina baraka za mkutano mkuu na vibaraka wake akina tundu lisu wanaojitia wanasheria nguli kwa hili wameufyata wakati liko wazi na ni uvunjifu wa katiba Ya chademaPunguza Chuki Mzee, waatack kisomi zaidi maana ujue upo upande wa mfalme busara muhimu
Leigwanan Ni kiongozi wa kabila la Maasai Africa Mashariki.Hivi inaruhusiwa kushiriki kwenye siasa za nchi nyingine? Leo Obama atie timu Kenya kumpigia chapuo Uhuru huu uchaguzi si utaingia dosari kubwa sana!?
....Tuko kimataifa zaidi.
Subiri 2020 tuone chadema pesa za kampeni mtatoa wapi? Watoa pesa wazuri ni wajaluo. Mkikuyu ni zaidi Ya mpare kwa ubahili na anaijua pesa kuliko mchaga na Ana tabia Kama muhindi mkimaliza biashara hakuhitaji tena. mtakoma 2020 kila mgombea atajibeba mwenyewe kwa gharama Zake hakuna pesa za Obama,wazunguu au wajaluo wala wakikuyu.MtakomaYaani wewe ni Bashite kabisa. Sasa huyo mme wako Obama bado yupo ikulu ya Marekani??
Fwambaaaa kabisa wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda nikwambie kitu chadema kuunga mkono Kenyatta Wafadhili WA marekani hawatawaona tena. Urafiki wao na Raila ambaye ni binamu yake Obama ulimfanya Obama awashawishi wamarekani wawasaidie chadema kipindi cha slaa. Ndio maana chadema ilipata misaada mingi ya wazungu kwa ajili ya Obama. Sasa maadamu wamehamia kwa Kenyatta sio kesi wasubiri Kenyatta auze maziwa yake awachangie chadema. Chadema have lost a very important network. Na ieleweke kuwa chadema hakijawahi kaa mkutano mkkuu kupitisha azimio la kubadili sera za nje na kujadili hilo la chadema kuhama kutoka kumuunga mkono raila odinga na kuvunja urafiki naye na kuanzisha urafiki na Kenyatta na chama chake. Wanachama wa chadema wanaburuzwa na lowasa. Maamuzi hayo yalitakiwa yaamuliwe na mkutano mkuu wa chadema. Lowasa anaburuza wanachama ni dikiteta analotaka analazimisha liwe bila hata vikao na baraka za mkutano mkuu. Hilo la kumuunga mkono Kenyatta halina baraka za mkutano mkuu na vibaraka wake akina tundu lisu wanaojitia wanasheria nguli kwa hili wameufyata wakati liko wazi na ni uvunjifu wa katiba Ya chadema
hili ni kosa la kimataifa, hivi haoni mgogoro uliopo usa , juu ya tuhuma kwamba russia waliingilia mambo ya uchaguzi wao?