Sasa kama wao wamemteua kuwa kiongozi wao kosa langu lipiWewe wala huwafahamu wamasai unapiga domo tu, ungewafahamu ungekuwa ushajua asili ya Lowasa. Lowasa si mmasai na wamasai wote wanajua hilo, simamisha mmasai yeyote muulize
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema ni kama malaya.anayejiuza leo kiko na odinga kesho kiko na Kenyatta loo!!!
nilazima tukubaliane kuwa mkeka alio-bet ukichanika,na yeye byebye,kule,.na huku Tz.Hiyo inaitwa political bet, hiyo sio his personal decision am sure ila upinzani wameona waitumie kama kete kwa kuwa tayari upinzani wa kule seems ushachoose side kwetu so wao they are just completing the equation
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama wao wamemteua kuwa kiongozi wao kosa langu lipi
Duh! Sheria za marekani ndo sheria za kimataifa? Unajiconfuse.Foreign Contributions to U.S. Elections | Election Law
Na
Home - FEC.gov
The Federal Election Campaign Act (FECA) prohibits any foreign national from contributing, donating or spending funds in connection with any federal, state, or local election in the United States, either directly or indirectly. It is also unlawful to help foreign nationals violate that ban or to solicit, receive or accept contributions or donations from them. Persons who knowingly and willfully engage in these activities may be subject to fines and/or imprisonment.
Who is a Foreign National?
The following groups and individuals are considered "foreign nationals" and are, therefore, subject to the prohibition:
- Foreign governments;
- Foreign political parties;
- Foreign corporations;
- Foreign associations;
- Foreign partnerships;
- Individuals with foreign citizenship; and
- Immigrants who do not have a "green card."
Na yawakenya itakua siyo mbali na hapo. Methinks
Ndio hvyo, ng'adu kwa ng'aduKenyatta akichukua tena nchi sijui hizi nchi mbili zitakuwa na uhusiano wa namna gani maana naona Kenyatta kaamua kuonesha wazi kuwa yupo na mpinzani wa Magu
ya ''Ngoswe mwachie Ngoswe!! "na ya
hoja hupingwa kwa hoja sio kukurupuka kama wewe!!mwache aendelee kukata mauno hapo lumumba hana analojuwa huyo
Inategemea, siasa inataka ubunifu sana and taking risks sometimes. Mzee Lowasa anajua fika kwamba anazidi kujiharibia huku lakini anaombea ushindi wa ugenini uje umpe support kwenye kipute chake, kwa logics za kawaida tayari kuna agreements hapo si bure.nilazima tukubaliane kuwa mkeka alio-bet ukichanika,na yeye byebye,kule,.na huku Tz.
pia n vigumu kwa uhuru 2020 kujitokeza huku Tz kama alivyofanya yy!!maana kenyatta hataweza kuingilia uchaguzi wa Tz
Sent using Jamii Forums mobile app
MaguHivi rais gani alimpasua mtoto wake wa kumzaa nimesahau kidogo nasikia akanywa sumu mtoto
Hao hao walipinga jamaa kuitwa mmasai baada ya scandal ya Richmond '08Sasa kama wao wamemteua kuwa kiongozi wao kosa langu lipi