Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,084
Waambie walitolee au ikishindikana na kama imekuuma sana saga chupa unywe.Wizara ya Mambo nchi za nje si vibaya ikilitolea tamko na msimamo wa Tanzania
Waambie walitolee au ikishindikana na kama imekuuma sana saga chupa unywe.Wizara ya Mambo nchi za nje si vibaya ikilitolea tamko na msimamo wa Tanzania
Tangu mwanzo Chadema,,walishasema wanamusapoti Uhuru Kenyatta.....lia Mimi naona Lowassa Ameenda kama LAIGWANANI MKUU...just to convince Masai to vote for Uhuru.
Amejionyesha wazi wazi kumsaidia Uhuru awe rais wa Kenya. Hivyo hata ile mitambo yake ya kielekroniki ya kuingilia voting system tuliyoisambaratisha mwaka 2015 pale Dar, sasa inaweza fungwa Monduli kuingilia uchaguzi wa Kenya. Na bila shaka msaada huu kwa Uhuru anautoa kwa malipo ya matrillion ya mapesa. Kweli Lowassa ni mtu wa madili makubwa makubwa. Hii iko ndani ya mishipa yake ya damu tangia utotoni.Kwani aliwaambia waluo wamchague Kenyatta? Hamjui siasa za wenzenu
I agree with youSipendi kabisa haya mambo ya wanasiasa wetu kujiingiza kwenye siasa za nchi zingine hususan hizi za jirani.
Hata Magufuli naye aliwahi kushiriki kwenye kampeni za Odinga.
Disgraceful!!
Chadema wakimuunga mkono jubilee (uhuru) pasipo kwenda kushiriki kampeni moja kwa moja pale kenya hio sio tatizo, vyama vya kisiasa kuwa rafiki kati nchi tofauti inakubalika.Tangu mwanzo Chadema,,walishasema wanamusapoti Uhuru Kenyatta.....lia Mimi naona Lowassa Ameenda kama LAIGWANANI MKUU...just to convince Masai to vote for Uhuru.
Sasa ulishamuona Zuma kaja Tanzania kumfanyia kampeni mgombea urais kupitia tiketi ya CCM? Au Kinana kwenda South Afrika kumfanyia kampeni mgombea urais wa tiketi ya ANC? Kwanza ni kwa sababu tu kuwa Uhuru ndiye current president wa Kenya, hangekuwa hivyo Lowassa angekuwa arrested huko Kenya for political tresspassing.Chadema wakimuunga mkono jubilee (uhuru) pasipo kwenda kushiriki kampeni moja kwa moja pale kenya hio sio tatizo, vyama vya kisiasa kuwa rafiki kati nchi tofauti inakubalika.
Kumbuka urafiki wa ANC na CCM, au CCM na ZANU PF au CHADEMA na chama flani ujerumani jina sikumbuki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli mbn alishiriki kumsaidia odinga.Hii italeta shidakidogo badae, nashauri wanasiasa wetu wawe flexible kwenye siasa za nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
au clinton wa marekani kumsapoti putin wa urusi!!Sasa ulishamuona Zuma kaja Tanzania kumfanyia kampeni mgombea urais kupitia tiketi ya CCM? Au Kinana kwenda South Afrika kumfanyia kampeni mgombea urais wa tiketi ya ANC?
Akae atulie hivyo hivyo, mambo ya Wakenya hayamhusu ajali ya kwao Tanzania
![]()
We ni wazo gani ulilojadili hapo zaidi ya kurukaruka kama panzi baada ya shamba kupuliziwa dawa ya wadudu?
labda kwa wizi wa kuraNyabhingi were umevurugwa na maisha wala siyo level yangu,Mtapiga sana mak time hadi 2035,
UMalaya wa madaraka utawaua,
magufuli alijiingiza kumpigia kampeni odinga akiwa waziri na kikwete akiwa rais..it implies that jk alijiingiza kwenye siasa za kenya pia kwa kutomkemea/kumkataza waziri wake kujiingiza kwenye kampeni...Unajua, hata kama si kinyume na katiba kushiriki kwenye siasa za nchi zingine bado kufanya hivyo si jambo la busara hata kidogo.
Siasa za Wakenya ziachwe ziwe zao peke yao.
Hawa viongozi wetu kujiingiza huko Kenya really calls into question their overall judgement.
Sikuwahi kuwaona Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Pinda, wala Sumaye wakijiingiza kwenye siasa za nchi zingine.
Magufuli na Lowassa ni bomu kabisa.
Alimsaidia kufanya nini mkuu hebuweka wazi.
Alipanda kabisa jukwaani? Weka picha hapa.
Sasa ulishamuona Zuma kaja Tanzania kumfanyia kampeni mgombea urais kupitia tiketi ya CCM? Au Kinana kwenda South Afrika kumfanyia kampeni mgombea urais wa tiketi ya ANC? Kwanza ni kwa sababu tu kuwa Uhuru ndiye current president wa Kenya, hangekuwa hivyo Lowassa angekuwa arrested huko Kenya for political tresspassing.