Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
We huyo baba atakua. Nakumbuka alikuwa anaipigia CCM debe huku anagombea CDM. Asipeleke gundu huko Kenya.
tuliza ngozi we kahaba
tuliza ngozi we kahaba
Anapewa na nani. Kati ka nchi ya ukabila ya Kenya kabila moja na nusu zitampigia Kenyatta na makabila 142 na nusu wamesha jiandaa kwenda Canaan na Raila. Labda kuna kura zitaletwa na lowasa ambaye ameenda kumuambukiza Kenyatta ugonjwa wa kushindwa uchaguzi. Birds of a feather flock together.kenyatta anachukua tena
Kama amnavyo Magu alivyoamua kumuonesha Kenyatta wazi kuwa yupo na mpinzani wake.Tens akamualika katika mapumziko kijijini Chato.Kenyatta akichukua tena nchi sijui hizi nchi mbili zitakuwa na uhusiano wa namna gani maana naona Kenyatta kaamua kuonesha wazi kuwa yupo na mpinzani wa Magu
do you have some kind of a mental retardation?Hapa ndio nimegundua kuwa urais ni kitu kitamu sana yaani sasa mzee kaamua kwenda kuusaka kenya hii ni hatari sana ..
kwa usemi wa polepole huu unaitwa umalaya wa kisiasa ...
Kama magufuli amewapoteza kiasi hichi basi ni bora mkakaa chini na kuitafakari wapi mlikosea
Ajabu kubwa zaidi chama cha upinzani kuunga mkono serikali. Kwa nini wapo upinzani wakati wenyewe sio wapinzani?Ila kuna watu nchi hii hawatutakii mema wanyonge, hususani aina ya watu km ya akina Edward ni watu hatari namkumbuka Mwl Nyerere alioona mbali juu ya huyu mtu tungeuzwa asb kweupe!!!
Haa haa ....![emoji12] [emoji12]Cha msingi achunge kichwa chake siasa za Kenya zimejaa ukabila kule kudungua mtu au kuua wakati wa kampeni za uchaguzi ni kitu kidogo mno
magufuli akiwa wazir wa JMT alienda kumsupport odinga na akatoa maneno ya kejeli dhidi ya UHURUTO kua watakua wanashinda hague.........Wizara ya Mambo nchi za nje si vibaya ikilitolea tamko na msimamo wa Tanzania
Jino kwa jino mkuu kwani Kuna ushenzi aliufanya Raila mwaka 2015 hapa Dar hauvumilikiSipendi kabisa haya mambo ya wanasiasa wetu kujiingiza kwenye siasa za nchi zingine hususan hizi za jirani.
Hata Magufuli naye aliwahi kushiriki kwenye kampeni za Odinga.
Disgraceful!!
...hivi ni mwenyekiti gani ana gombewa na mahawara zake viti maalum !?
Jino kwa jino mkuu kwani Kuna ushenzi aliufanya Raila mwaka 2015 hapa Dar hauvumiliki
Sent using Jamii Forums mobile app
....laana ya uzinifu haipishani !si bora hili la kugombewa na mahawara kuliko hili la kumpasua mtoto uliyemzaa.ni laana iliyoje hiyo
Solex ni brand moja ya makofuli ambayo ni popular sana Tanzania na zinaaminika. Solex imekuwa maarufu kama kampuni ya shell ilipopata umaarufu na kila kituo cha mafuta watu huita shell. Kiaina, solex ni kama hivyo.Masolex ndo nani?
Au Magufuli akampigie kampeni Odinga!Hivi inaruhusiwa kushiriki kwenye siasa za nchi nyingine? Leo Obama atie timu Kenya kumpigia chapuo Uhuru huu uchaguzi si utaingia dosari kubwa sana!?