Elimu ya hapa na pale
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 846
- 825
Hivi ameongea dakika ngapi?
Punguza Chuki Mzee, waatack kisomi zaidi maana ujue upo upande wa mfalme busara muhimuChadema ni kama malaya.anayejiuza leo kiko na odinga kesho kiko na Kenyatta loo!!!
subiri utaelewaKwasababu lowasa kaenda?
Sipendi kabisa haya mambo ya wanasiasa wetu kujiingiza kwenye siasa za nchi zingine hususan hizi za jirani.
Hata Magufuli naye aliwahi kushiriki kwenye kampeni za Odinga.
Disgraceful!!
Mkuu hivi unaujua uhusiano wa masolex na odingaSipendi kabisa haya mambo ya wanasiasa wetu kujiingiza kwenye siasa za nchi zingine hususan hizi za jirani.
Hata Magufuli naye aliwahi kushiriki kwenye kampeni za Odinga.
Disgraceful!!
Aise safi sanaaa Acha amsupport tu mbona yule nani Ana msupport odinga kitamboAna ushawishi mkubwa sana kwa jamii ya wamasai ambao wamejazana Kenya .
Masolex ndo nani?Mkuu hivi unaujua uhusiano wa masolex na odinga
Ova