kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,876
Ndg YEHODAWA KWANI HAPO UNAMUONA NANI? HUYU SI NI LOWASSA JAMANI!!! AU LOWASSA NDIYE CHADEMA? HV WAKATI ULE ODINGA ALIENDA KUMTEMBELEA MAGUFULI INA MAANA ALIENDA KWA MWENYEKITI WA CCM AU KWA RAFIKI YAKE? HAYA MAGU ANAMSAPOTI ODINGA KAMA RAFIKI YAKE , SASA NDIYO TUSEME CCM PIA INAMSAPATI? JARIBU KUTOFAUTISHA MBOWE ,TL, LOWASSA AU LEMA NA CHADEMA INAPOTAKIWA KUWA HIVYO.Labda nikwambie kitu chadema kuunga mkono Kenyatta Wafadhili WA marekani hawatawaona tena. Urafiki wao na Raila ambaye ni binamu yake Obama ulimfanya Obama awashawishi wamarekani wawasaidie chadema kipindi cha slaa. Ndio maana chadema ilipata misaada mingi ya wazungu kwa ajili ya Obama. Sasa maadamu wamehamia kwa Kenyatta sio kesi wasubiri Kenyatta auze maziwa yake awachangie chadema. Chadema have lost a very important network. Na ieleweke kuwa chadema hakijawahi kaa mkutano mkkuu kupitisha azimio la kubadili sera za nje na kujadili hilo la chadema kuhama kutoka kumuunga mkono raila odinga na kuvunja urafiki naye na kuanzisha urafiki na Kenyatta na chama chake. Wanachama wa chadema wanaburuzwa na lowasa. Maamuzi hayo yalitakiwa yaamuliwe na mkutano mkuu wa chadema. Lowasa anaburuza wanachama ni dikiteta analotaka analazimisha liwe bila hata vikao na baraka za mkutano mkuu. Hilo la kumuunga mkono Kenyatta halina baraka za mkutano mkuu na vibaraka wake akina tundu lisu wanaojitia wanasheria nguli kwa hili wameufyata wakati liko wazi na ni uvunjifu wa katiba Ya chadema
Sent using Jamii Forums mobile app