Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

Watu kama wewe wa kujipendekeza, magu anawapenda sana. Ucjali atakupa shavu one day ila ipo siku atakuita mpumbavu. Kumbe mpumbavu ni yeye anayeendekeza watu wapumbavu kama wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru Kenyatta alimwalika Lowassa kwenye kampeni zake za Urais nchini Kenya.
Lowassa alisimama na kumuombea Uhuru Kenyatta kura, lakini alizomewa sana kwa tukio hilo.

Ni jambo la aibu Sana kwa Kiongozi huyu kuzomewa, ni fedheha kubwa Sana, ni dharau mbaya Sana Wakenya walioionyesha kwa Mheshimiwa Lowassa.

Je? kuna kosa alilofanya Mheshimiwa Lowassa mpaka kupata madhira haya?

Tujadili kwa mapana, ili tujue tatizo lilikua ni nini, ili lisijetokea tena.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni kweli walimzomea basi watakuwa walifanya jambo la kiuungwana. Wangaliweza fanya kitu kibaya zaidi.

Wewe fikiria katika kampeni zetu za za uchaguzi mkuu waje Wanyarwanda, Warundi, Wakondo, Wasouth, Wachina, Wahindi, Wazungu, Wamerekana nk kuwanadi wagombea wetu wa urais. It is ridiculous!!! Mambo ya Kenya waachie wakenya waamue wenyewe bila ya kushawishiwa na foreighners.
 
Chadema ni kama malaya.anayejiuza leo kiko na odinga kesho kiko na Kenyatta loo!!!
Ulikuwa unamaanisha hivi..
1502259215694.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama amezomewa si mngeweka video mpaka vyoo vya stendi zote nchini na sokoni,ili mthibitishe na kumdhalilisha kila sehemu ya nchi ? hilo lako tu la kukuburudisha na ccm yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi inaruhusiwa kushiriki kwenye siasa za nchi nyingine? Leo Obama atie timu Kenya kumpigia chapuo Uhuru huu uchaguzi si utaingia dosari kubwa sana!?
SAA nyingine nakukubali kwa msimamo wako
 
Unajua, hata kama si kinyume na katiba kushiriki kwenye siasa za nchi zingine bado kufanya hivyo si jambo la busara hata kidogo.

Siasa za Wakenya ziachwe ziwe zao peke yao.

Hawa viongozi wetu kujiingiza huko Kenya really calls into question their overall judgement.

Sikuwahi kuwaona Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Pinda, wala Sumaye wakijiingiza kwenye siasa za nchi zingine.

Magufuli na Lowassa ni bomu kabisa.
Wewe humjuhi nyerere, Nyerere aliyelazimisha obotte awe rais, Na kudanganya kabaka, ?? Nyerere kaingilia siasa za mataifa mengi, ma ameplant watu wengi sana kenye nchi nyingi, either direct or indirect
 
Back
Top Bottom