Unaposema nachangia kishabiki una maana gani?
Kuna mahali nimesema namshabikia yoyote kati ya waliotajwa? Weka ushahidi wa ushabiki wangu.
Unasema nimechangia bila facts. Facts gani unazungumzia?
Kwamba yeye ni Laigwanani, ni fact kutoka kwenye video clip. Nimekuuliza ukashindwa kujibu, badala yake ukasema "wamasai walimkana kuwa si mmasai", hiyo ndo fact?
Kwamba alizungumza na wamasai hiyo ni fact, again, sijatoka nje ya mada. Hiyo ni kwa mujibu clip kwenye bandiko original.
Kwamba wakenya ni wakabila hiyo ni fact
Kwamba wamasai wa Kenya na Tanzania ni jamii moja bila kujali mipaka hiyo nayo ni fact
I can go on and on, wewe facts zako ni zipi?