WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 970
you wanna know more? take it up with me bi-laterally!
What if????Does it matter?
Mnatafuta undani wangu hautaupata!
MTM & WOS et al,
Mie pia nipo hapa bongo jamani ......kwa nini mnataka kuwazuga hao watu jamani waingie mkenge wa kurudi huku kwenye moto?????wenye hizo pesa /wanaopata $20,000 kwa mwezi ni kiduchu sana,majority ya mishahara ni btn $3000 na $4000.hio ndio FACTS,Tuwe wakweli plzzzzz.
Top exc. hadi 20,000$ kwa mwezi watu wanapata unaongelea 4000.
Mimi nikaunga mkono ( siyo kishabiki bali with full knowledge) kuwa wapo wenye kupata upto 20,000$ per month..hapo ndo maneno yameanza.
3.Ni kweli kuwa hawa wako wachache na siyo kwenye ajira za serikali.Isitoshe income ya $20,000 per month siyo kitu cha ajabu kwa watu wenye shughuli zao wenyewe.
Can you name at least one top executive who makes $20,000.00 a month? Or with your "full knowledge" can you name at least two companies that pay their top execs $20,000.00 a month....for example, you can say, the CFO for Wateraid makes $21,150.00 a month....that ain't that hard, is it?
Are you implying that you take home 20 stacks a month? Girl puliiiiz.....
I gotcha!
I know exactly where you are leading me too and im not gonna go there
Dont expect spoonfeeding from me ...do ur own homework DAWGGG!!
Mbona una madonge sasa kama u dont give a ......Hakuna anayetafuta undani wako. I simply don't give a rat's you know what about you or about it.
You don't make no 20 stacks a month. Not even remotely close.
Now sitcho azz down and be quite coz you're talking sideways right about now.
You are not gonna dare to even show your face there coz you know you don't know. How hard is it to name even a company that rewards its top execs that kind of money. Is that rocket science? Come on now...you claimed to have full knowledge of it so why don't you share it us. Girl stop lying.
It's done and you are a liar liar pant's on fire!!
Donge liko wapi bibie? Yaani nikuonee donge wewe...no..I can't do that..
Wewe nitajie tu huko wanakolipa mishahara hiyo...mbona unanizungusha kama nimekuomba uchi vile....aaaaah
My own private company...if u wanna know...aint no lying!
happy?
Can you name at least one top executive who makes $20,000.00 a month? Or with your "full knowledge" can you name at least two companies that pay their top execs $20,000.00 a month....for example, you can say, the CFO for Wateraid makes $21,150.00 a month....that ain't that hard, is it?
...ingawa nimekuta mjadala katikati watu wanaochota 20K plus kwa mwezi kule nyumbani nakumbuka walikuwa wale majamaa wa NetGroup wa Tanesco, jamaa wa Breweries, Wa-Danish CRDB, na CEOs wa makampuni ya madini,...........nilichoshudia hii mishahara wanapewa wazungu zaidi....nafasi hizo hizo ukipewa wewe Ng'waninyami watakupa zaidi zaidi between 10-15K per month
Yo Yo,
Umeshapata hiyo Video ya Kikwete akiwaambia Watanzania kwamba nyumbani kuna ajira, warudi nyumbani?
Naisubiri ili "niache kubisha" kwa madai yangu kwamba Kikwete huwa hasemi Watanzania warudi nyumbani, ila anasema wachochee uwekezaji nyumbani wakati wakiwa nje, na kwamba Yo Yo usikae hapo ukategemea Kikwete na wengine ndio wakutengenezee ajira wewe uje kuzikuta zinakusubiri uzichukue tu.
Kongoli: Media
Kwenye Public Video List, nenda alfabeti 'J' utapata 'Jakaya Kikwete Q&A - London Feb 07'. Kama una moyo wa kumwangalia kwa saa nzima, nadhani Yoyo anakumbushia hiyo, labda alisema kitu kama hicho.
Ukiona anazungusha sana story kama WoS basi we kong'oli hapa; Roho Ya Sabuni
hata waliokuwa wansema ukimwi upo walikuwa wanatletea video za walioathirika kanyigo,kyakailabwa kwingineko ambapo ulianzia.....wewe hebua tuambie taasisi gani tanzania inayolipa wafanyakazi wake $20000? sio mtulazimishe tukubali hali halisi tunaiona....labda kama mnaizungumzia tanzania yenu sio hii niliopo.....
Linki zenu zote hazifunguki. Naona mnapata tabu. Ngoja basi tusaidiae, niwape vidhibiti vyangu ambapo Kikwete anasema yale yale niliyoyasema kwamba Yo Yo na Nzokahyilu msikae hapo mnasubiri mtengenezewe kazi nyumbani mje mchukue. Na upotoshaji wenu kwamba Kikwete amewahi kusema kazi zipo nyumbani, njooni, si kweli. Kikwete anasema jengeni, chocheeni investment kwenu. Hakuna wa kukujengea nchi: