Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

Hongera zenu Watanzania mnaokaa na wazee, mnaobeba mabox kwa kuamua kufuata njia halali ili kujiingizia vipato vyenu. Ni rahisi mno kuamua kutumia short cut za kujiuza miili yenu, kubeba unga au hata kuwa wanyang'anyi wa kutumia silaha. Lakini mmeamua kutumia njia halali ili kutimiza malengo yenu. Wengi mmejisomesha na kujipatia elimu nzuri sana, mmesomesha watoto wenu, mmesomesha ndugu zenu, mmejenga nyumba za maana Tanzania au kufungua biashara au kununua nyumba huko mliko. Haya maneno ya wakosaji wala yasiwakatishe tamaa kabisa mradi mnajua nini malengo yenu. Watanzania walio nje ambao ni wasomi wengi wao wanakazi nzuri sana pamoja na kulalamika kulipa kodi kubwa lakini unaona matunda ya kodi hizo katika huduma mbali mbali muhimu za kijamii tofautu na kwetu ambako matatizi yetu ni yale yale miaka nenda miaka rudi, Hakuna maji safi, umeme siku zote ni wa shida, Wanafunzi hawana madawati au madarasa na walimu pia, Hospitali hazina madawa, vitanda au vifaa muhimu. Matatizo ambayo kwa maoni yangu yako ndani ya uwezo wetu, lakini kwa kuwa hakuna anayejali basi yapo plae miaka nenda miaka rudi.

Kwa mara nyingi tena hongera kwa Watanzania wote ambao mmeamua kujiingizia vipato vyenu kwa kutumia njia halali badala ya kutafuta njia rahisi ambazo ni haramu na kujiingiza kwenye matatizo.
 
Attitude friends!

Yaani hakuna kitu positive mnachoona cha nyumbani? Story siku zote ohh mara Wizi ohh ubadhirifu ohh mara uzembe ohh mara njaa ohh mara magonjwa n.k

rule za mahesabu ni kwamba lazima undoe negative ili upate positive na sio ufiche negative ili watu waone positive.

lazima usafishe nyumba yako ili iwe safi kabla ya kusema wewe ni msafi.

wazungu wanaripoti mabaya yao sana kulikoni mazuri na hiyo ndio njia pekee ya kutokomeza uwozo wa TZ na sio kukaa kimya na kusema tambarare
 
Wewe hapo juu unaongea unachokijua au unakijua unachokiongea???? Je unaishia wapi na hizo data zako unazipata wapi,nadhani labda wewe ndio looser,kama upo USA anza kwanza wewe kurudi bongo kama maisha yamekushinda.
 
Mkuu naifahamu bongo saana.......hio 50k ina maana kwa mwezi ni more than 4000USD huu ni mshahara wa watu wachache saana tena naweza kusema wale top executive ambapo kuzipata chances kama hizo ama ujulikane undugunization au ulale kwa waganga wa kienyeji.............

Mkuu,Inategemea unaongelea staff wa wapi.Kama ni serikalini ofcourse what u r saying is true.Ila ukumbuke wigo wa ajira bongo sasa ni mpana zaidi.
4000 usd unashangaa!! mbona ni kitu cha kawaida kwa mid level staff kuipata? Top exc. hadi 20,000$ kwa mwezi watu wanapata unaongelea 4000.

Ila naungana na wale wote wanaosema kuwa tafuta maisha popote pale unapoona inalipa.Maendeleo ya mtu yanafikiwa kwa mbinu mbalimbali na pia tukumbuke kuwa hata hao waliofanikiwa kwenye dunia ya kwanza waliweza baada ya kutoka kwao na kwenda mbali kutafuta through looting and plundering.Tanzania yetu bahati mbaya sana kuna ubinafsi na kutokupenda kutoa nafasi kwa wengine hasa new generations - wazee wa tangu enzi bado wameng'ang'ania every opportunity.Sioni ubaya kwa wale walioliona hilo mapema wakatoka na kutafuta viwanja vingine.Sijui ni kwa kiasi gani wenzetu walioko ughaibuni wanaremit chochote huku bongo lakini wenzetu kutoka say Phillipines, Pakistani, Sri Lanka na kwingineko wanachangia sana pato la nchi zao.


Mimi binafsi napenda sana bongo na sidhani nina nguvu za kupambana na mikikimikiki ya huko USA japo napenda kuwepo huko kwa vipindi vifupivifupi kubadilisha hali ya hewa.
 
Thanks YNIM kwa kujiongelesha pia, and thanks for 50K [proud au sio?], but i forgot.... pole for slavery mind!

If i was to generalize, i would say everyone gets 50K, but knowing we have average income less than that, i picked on one!! Its also funny when some of your type wish to hear bad new only from Bongo like no one is happy, enjoy the good country built by some of former slaves and when we visit there we will always cherish their contribution for the best country in the world ...but that wont make any of the USA citizen or wahamiaji better than any other

Now does that makes you better slave minded than others?

BTW, just one question... is it true that educated TZ immigrants face tough time in the US, or its the uneducated TZ immigrants face tough time in the US?

MTM
Thanks for highlighting the fact that not every Tanzanian who decides to stay and work in Tz is living a low and pathetic life, or is earning peanuts.It will motivate those wishing to come back.Binafsi nimeona watanzania kadhaa wakiamua kurudi baada ya kupewa mifano hai ya ni kwa vipi wanaweza kufanya kazi au shughuli Tz wakafanikiwa kupata vipato vya kuridhisha.Tena ukiweza kupata fursa kama hizi basi hata mahitaji yako mengine - nyumba nzuri, gari nzuri, shule nzuri kwa watoto wako bila kusahau package nyingine ambazo ni ndoto kuzipata ughaibuni - wasaidizi wa nyumbani ( house keeper, gardener, driver, butler ukitaka utamudu bila matatizo na pia kuna ile hali ya kupata reconginition katika social status!)
 
maisha ni popote pale. Muhimu kutimiza malengo yako. Uwe bongo uwe USA au Ulaya kote ni kutafuta life. Hivyo kila mtu na upendeleo wake wa sehemu gani anataka kuishi ilimradi maisha yanamwendea vizuri.
 
Mkuu,Inategemea unaongelea staff wa wapi.Kama ni serikalini ofcourse what u r saying is true.Ila ukumbuke wigo wa ajira bongo sasa ni mpana zaidi.
4000 usd unashangaa!! mbona ni kitu cha kawaida kwa mid level staff kuipata? Top exc. hadi 20,000$ kwa mwezi watu wanapata unaongelea 4000.
Tusidanganyane bana kila mtu anaijua tanzania....hao wanaopata USD 4k na USD 20k ni wangapi aisee???
Si ndio uko BOT mnapopeana kazi kwa kuangalia ubini wako......

Sijui ni kwa kiasi gani wenzetu walioko ughaibuni wanaremit chochote huku bongo lakini wenzetu kutoka say Phillipines, Pakistani, Sri Lanka na kwingineko wanachangia sana pato la nchi zao.
Data please.......
 
Tusidanganyane bana kila mtu anaijua tanzania....hao wanaopata USD 4k na USD 20k ni wangapi aisee???
Si ndio uko BOT mnapopeana kazi kwa kuangalia ubini wako......


Data please.......

Exactly ni nani au kina nani hao wanaolipwa $20,000 kwa mwezi? Tunaweza kupata mifano?
 
mshahara wa mtu ni personal kutegemeana na negotiation na what u r worth!
Hivyo mnashauriwa mtafute those highly paying jobs

That's very lame of you!! Unatumia kisingizio cha confidentiality....puliiiiz. Kwani hawazitangazi hizo kazi zinazolipa hiyo $20,000.00 kwa mwezi?

Okay, unaweza kunipa mifano ya kazi ambazo zinalipa huo mshahara?
 
That's very lame of you!! Unatumia kisingizio cha confidentiality....puliiiiz. Kwani hawazitangazi hizo kazi zinazolipa hiyo $20,000.00 kwa mwezi?

Okay, unaweza kunipa mifano ya kazi ambazo zinalipa huo mshahara?

Tatizo la watz wengi ndiyo hili...too much spoonfeeding expected. Na tena mtu anaanza kwa kejeli na mibezo ya hapa na pale badala ya kutafuta kujua afanyeje naye avumbue mambo mazuri.FYI IM NOT JUST ASSUMING naongea kwa kujiamini nazungumza nini.Kama unajua kusoma between the line haya.
 
Watz acheni kukimbilia US nendeni mkalime mashamba na ardhi tunayo! Geuzaulole huko, acheni box
 
Watz acheni kukimbilia US nendeni mkalime mashamba na ardhi tunayo! Geuzaulole huko, acheni box

hii thread inaonyesha pia jinsi watu wanavyofikiria kuajiriwa tuuuu!! Kuna other sources of good income jamani.... u just need to think creatively tu.
 
Tatizo la watz wengi ndiyo hili...too much spoonfeeding expected. Na tena mtu anaanza kwa kejeli na mibezo ya hapa na pale badala ya kutafuta kujua afanyeje naye avumbue mambo mazuri.FYI IM NOT JUST ASSUMING naongea kwa kujiamini nazungumza nini.Kama unajua kusoma between the line haya.
Hujajibu swali la ng'waninyami..
 
hii thread inaonyesha pia jinsi watu wanavyofikiria kuajiriwa tuuuu!! Kuna other sources of good income jamani.... u just need to think creatively tu.
haya mambo ndio anasemaga kikwete akienda ughaibuni......ooh kazi zipo njooni..opportunity zipo kibao..nyie kama wazawa nawakikishia kuna fursa nyingi njooni mjenge kwenu......

...hizo fursa jamani zitajeni.....
 
haya mambo ndio anasemaga kikwete akienda ughaibuni......ooh kazi zipo njooni..opportunity zipo kibao..nyie kama wazawa nawakikishia kuna fursa nyingi njooni mjenge kwenu......

...hizo fursa jamani zitajeni.....
Yo yo na mwenzako ...kama mnataka kujua ... mtajua tu lakini si kwa namna mnavyolazimisha.
 
Back
Top Bottom