Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

mkuu unazidi kutokota.....mkuu nakuambia labda uwadanganye walioko majuu mie nipo hapa.....

....hao ma director unawaowasemea ni wangapi? Kwanza wengi wao ni wageni sio wazawa.....

Pili nina uhakika jamaa mmoja kakimbia tulawaka kwa njaa kali na ni msomi...

.....tatu kwenye banks ndio kabisaaa usiongee hakuna kitu......most ya graduate mule hawafiki hata m1....

acha utoto, nimekueleza kule mwanzo kwamba apply ukiwa abroad your bargain power inluwa kubwa sasa sijui unataka nini....... Vijana wa nyumbani hata lugha ngumu

kuhusu idadi nishakwambia hata wakiwa mia out of 40m ni part ya statistics na tunawatumia

source ya data nimesema pwc, d&t, e&y kama hutaki acha otherwise prove me wrong before denying things you dont know

guys, lets do our research first
 
Nimemwona Kikwete akiongea na Watanzania Marekani na Europe si mara moja. Huwa hasemi "... kazi zipo njooni..opportunity zipo kibao." Si kweli. Huwa anasema kumbukeni nyumbani, chocheeni investment kwenu. Tafsiri....ajira nyumbani hakuna, njooni nyumbani mtengeneze ajira, msijisahau kubaki kujenga kwa wengine.

Sasa usikae hapo unategemea Kikwete akutengenezee kazi halafu aje kukukaribisha uje ukute kazi inakusubiri. Kazi hazioti kwenye miti ya serikali, zinakuja kwa jitihada za wananchi kujenga na kupanua uchumi wa nchi.
mkuu Kuhani kuna video moja alipokuwa uk ngoja niitafute online nikiipata nakupa link aalfu ubishe tena.....
 
swali, hao wakurugenzi wa hizyo intl orgs na multinational companies ni wazawa au wageni?

ninaowa-refer mimi ni wazawa....... Five to ten years ago we used to have lots of wageni, but due to changes na mambo kama hayo wabongo wanaongezeka..... Kwa sekta niliyo mimi mwaka jana tu tulipata program/project directors na country directors wazawa zaidi ya tisa
 
Tunakuja bongo tena kwa sana tu na tunajua hali ilivyo ndio maana mnapotudanganya tunawakamata na mnapopotosha tunawaweka sawa...get it?

Nakumbuka kikao ambacho Msekwa alikuwa majuu na akaamua 'kuwaambia hali ilivyo' nyumbani Watanzania wenzake. Wakati huo alikuwa spika wa Bunge, baada ya kuelezea hali hiyo akaomba maswali basi akawa anajibu maswali kwa ukali ukali na kutaka kuwatisha watu mwisho alitamka nyinyi mko huko miaka mingi hivyo hamjui hali halisi ya nyumbani. Jamaa mmoja akamjibu tuna ndugu, jamaa na marafiki hivyo tunaelewa hali halisi ya nyumbani na sisi wenyewe pia hutembelea nyumbani. Basi akataka watu waendelee kumuuliza maswali na watu hawakuridhika na jinsi alivyokuwa akiyajibu na hakukuwa na swali lilifuata.

Hii mentality kwamba 'nyinyi mko huko' hamjui chochote kinachoendelea nyumbani huiona kwa baadhi ya wachangiaji hapa ukumbini. Ukweli ni kwamba kutokuwepo Tanzania si sababu ya kudhani kwamba huyo ambaye hayupo hajui lolote ndani ya Tanzania, wakati mwingine anaweza kuwa anayafahamu mengi kuliko walio Tanzania.
 


Hii mentality kwamba 'nyinyi mko huko' hamjui chochote kinachoendelea nyumbani huiona kwa baadhi ya wachangiaji hapa ukumbini. Ukweli ni kwamba kutokuwepo Tanzania si sababu ya kudhani kwamba huyo ambaye hayupo hajui lolote ndani ya Tanzania, wakati mwingine anaweza kuwa anayafahamu mengi kuliko walio Tanzania.

BAK

Thanks for bringing this up! hii ipo na ni pande zote - kuna wanaojua ya bongo hata kama hawapo, na kuna wanaodhani kwamba kama haupo bongo basi. lakini kuna wale walio bongo, na bado wanakataa hali halisi

tatizo letu ni generalization, hivyo tunafunga milango ya kueleweshana

Naomba ku-apologize kama nimeonyesha kutothamini maoni ya walio nje ya bongo ndani ya hii mada... lets build constructive criticism and not cynicism
 
MTM & WomenofSubstanc

Waungwana mnajua mnachokiongea na mimi nakubaliana nanyi 100%. Hiyo mishahara ni kweli ipo Tanzania, tena hata kwa watoto wa wakulima; asiyeamini shauri yake.

Ng'waninyami & YoYo

Wakuu mnanikumbusha miaka ile ya 80's tulipokuwa tunaambiwa kuna ugonjwa unaitwa Ukimwi, tukawa hatuamini mpaka pale walipoambukizwa ndugu na jamaa wa karibu yetu, ndipo tulipozinduka na kuamini kweli Ukimwi upo na unaua kifo vibaya..!!

Mtabaki kama mlivyo mpaka siku kaka au dada zenu wa damu waje wawaonyeshe pay slips zao.!!
 
-

- Katika huu mjadala mzima naomba kuongeza one thing, ni kwamba ukiwa bongo, unaweza ukawa na everything, lakini tatizo ni moja tu, ukiumwa sana uwezekano wa matibabu mazuri ni mdogo sana, as opposed na majuu, ninawashauri wale wote walioko majuu tafadhali kama inawezekana, hakikisha kabla hujarudi bongo moja kwa moja, umechonga line flani hivi kwamba utakapoumwa ghafla ukiwa bongo, basi unaweza kujipandia ndege kwanza majuu na kutibiwa, ninamjua kiongozi mmoja bongo mashuhuri sana, yeye siku zote huwa na valid tiketi kwenye mkoba wake, akumwa tu haulizi wala hasubiri ushauri wa mtu, hujipandia pipa tena kimya kimya bil aya kumuambia mtu huenda na kutibiwa na kurudi kimya kimya.

Respect.


FMES!

- Dilunga soma tena originally nilichosema, tofauti na maneno yako ya kiroho mbaya mkuu acha hizo!

FMES!
 
- Wakuu naomba ksuema hivi hebu jaribuni kuwa wastaarabu, kwa sababu huu mjadala ni muhimu sana kwa baadhi ya wananchi, maisha kila mtu na yake kama upo majuu na umefanikiwa basi tusaidie na wengine maarifa ili tujinasue kwenye umasikini either hapa bongo, au hata huko majuu.

- Kuna wananchi bongo wenye maisha mazuri na mabaya na huko majuu ni hivyo hivyo, sasa tujaribu tu kuelimishana namna ya kujikwamua kutoka kwenye umasikini, badala ya kuachana kwenye njia panda. Wote hapa ni ndugu na wote ni watafutaji sasa tuelimishane namna ya kusonga mbele wakuu!

- Katika huu mjadala mzima naomba kuongeza one thing, ni kwamba ukiwa bongo, unaweza ukawa na everything, lakini tatizo ni moja tu, ukiumwa sana uwezekano wa matibabu mazuri ni mdogo sana, as opposed na majuu, ninawashauri wale wote walioko majuu tafadhali kama inawezekana, hakikisha kabla hujarudi bongo moja kwa moja, umechonga line flani hivi kwamba utakapoumwa ghafla ukiwa bongo, basi unaweza kujipandia ndege kwanza majuu na kutibiwa, ninamjua kiongozi mmoja bongo mashuhuri sana, yeye siku zote huwa na valid tiketi kwenye mkoba wake, akumwa tu haulizi wala hasubiri ushauri wa mtu, hujipandia pipa tena kimya kimya bil aya kumuambia mtu huenda na kutibiwa na kurudi kimya kimya.

Respect.


FMES!


Duh..Mkuu hapa kwa mara nyingine umegonga nyoka kichwani..

Hilo la matibabu ni moja wapo muhimu sana; la pili ni elimu [hasa ya juu] kwa watoto. Hili ni gumu kidogo kwa sababu linategemea mambo mengi likiwamo akili ya wa/mtoto mwenyewe ila ukiweza kujitengenezea mazingira ya kumpa mtoto uamuzi wa kusoma Mlimani University au Manchester University wakati ukifika ni busara sana.

Nawakilisha.
 
ni kweli kabisa FMES umesema, huko majuu kwa matibabu tu nawasifu.
 
sasa wote tukimbilie US kwa matibabu?

- Kwa wanaoweza tu ndivyo nilivyosema, ninasema kama umewahi kuishi majuu kabla hujaamua kurudi bongo moja kwa moja, jaribu kutafuta kila njia kama ni US unachohitaji ni kuwemo kwenye Social System yao, itakayokupa medicaid kwa hiyo wewe ukiwa bongo ni kuwa na valid tiketi all the times, kwa hiyo ukiumwa tu nachukua pipa unatibiwa kule bure kwenye Health Centers, unarudi bongo kama kawaida bila kelele,

- Na kama inawezekana kabla hujaondoka majuu kurudi bongo jaribu kujiingiza kwenye Pension system za huko majuu, na pia ni lazima uwe umejenga nyumba bongo, sasa hata kama pension ya majuu inakulipa dola 1000 kwa mwezi, na unaishi kwenye nyumba yako, huwezi lala njaa hata siku moja, ni ushauriwa bure tu na kumbuka one thing, mimi huwa siongelei kusadikika hata siku moja, huwa ninaongela yanayowezekana tu!

- Huwezi ishi majuu zaidi ya miaka mitano, halafu siku moja ukafungasha na kurudi bongo and that is it huna tena connection yoyote na majuu, that is not smart mkuu, kama hujui how to do it uliza wengine usaidiwe.

- Na hakikisha kwamba kabla hujarudi bongo una degreee hata ya kununua, au ya kufagia tu inatosha maana hutalala njaa hata siku moja.

Respect.

FMES!
 
- Wakuu naomba ksuema hivi hebu jaribuni kuwa wastaarabu, kwa sababu huu mjadala ni muhimu sana kwa baadhi ya wananchi, maisha kila mtu na yake kama upo majuu na umefanikiwa basi tusaidie na wengine maarifa ili tujinasue kwenye umasikini either hapa bongo, au hata huko majuu.

- Kuna wananchi bongo wenye maisha mazuri na mabaya na huko majuu ni hivyo hivyo, sasa tujaribu tu kuelimishana namna ya kujikwamua kutoka kwenye umasikini, badala ya kuachana kwenye njia panda. Wote hapa ni ndugu na wote ni watafutaji sasa tuelimishane namna ya kusonga mbele wakuu!

- Katika huu mjadala mzima naomba kuongeza one thing, ni kwamba ukiwa bongo, unaweza ukawa na everything, lakini tatizo ni moja tu, ukiumwa sana uwezekano wa matibabu mazuri ni mdogo sana, as opposed na majuu, ninawashauri wale wote walioko majuu tafadhali kama inawezekana, hakikisha kabla hujarudi bongo moja kwa moja, umechonga line flani hivi kwamba utakapoumwa ghafla ukiwa bongo, basi unaweza kujipandia ndege kwanza majuu na kutibiwa, ninamjua kiongozi mmoja bongo mashuhuri sana, yeye siku zote huwa na valid tiketi kwenye mkoba wake, akumwa tu haulizi wala hasubiri ushauri wa mtu, hujipandia pipa tena kimya kimya bil aya kumuambia mtu huenda na kutibiwa na kurudi kimya kimya.

Respect.


FMES!

sasa wote tukimbilie US kwa matibabu?
ndio maana yake!
 

- Katika huu mjadala mzima naomba kuongeza one thing, ni kwamba ukiwa bongo, unaweza ukawa na everything, lakini tatizo ni moja tu, ukiumwa sana uwezekano wa matibabu mazuri ni mdogo sana, as opposed na majuu, ninawashauri wale wote walioko majuu tafadhali kama inawezekana, hakikisha kabla hujarudi bongo moja kwa moja, umechonga line flani hivi kwamba utakapoumwa ghafla ukiwa bongo, basi unaweza kujipandia ndege kwanza majuu na kutibiwa, ninamjua kiongozi mmoja bongo mashuhuri sana, yeye siku zote huwa na valid tiketi kwenye mkoba wake, akumwa tu haulizi wala hasubiri ushauri wa mtu, hujipandia pipa tena kimya kimya bil aya kumuambia mtu huenda na kutibiwa na kurudi kimya kimya.

Respect.

Heshima na wewe pia, japo uliyoyasema yana mapungufu ya kutisha.

Health care provision ni tatizo sugu katika baadhi ya nchi za nje kama vile Marekani. Hayamudiki bila bima ya afya kwa mtu wa kawaida. Zaidi ya watu millioni 40 hawana bima ya afya nchini humo kwa sababu hawawezi kumudu dola 400 mpaka 600 kwa mwezi, kwa familia. Na baadhi ya wenye bima wanasumbuliwa na urasimu ama wizi wa wazi wazi wanapougua kwa kuambiwa ugonjwa huo haupo kwenye makubaliano. Na hata ukiwa na hela za bima unaweza kukataliwa kuuziwa bima kwa kuambiwa kwamba wewe una magonjwa hatari tayari, hivyo hawakutaki. Na wakikukubali hawatakulipia hayo magonjwa uliyokuwa nayo kabla ya kupewa bima. Na ukienda hospitali Marekani bila hela taslimu wala bima utatamani uwe kwa Dokta Mvungi Kinondoni A.

Pia shauri wako kwamba atakaerudi nyumbani "achonge line fulani ya kuhakikisha anaweza kupanda ndege ghafla kwenda kutibiwa" ni ushauri potofu. Ukiwa unaishi Tanzania ni vigumu kumudu gharama za matibabu ua Magharibi, na pia ni vigumu, kama sio haiwezekani, kuwa na bima wakati huishi na kufanya kazi huko. Watu wa huko bima za afya wanazipatia kazini.

Na kama unaongelea kujiandaa kupanda ndege kwenda India ama South Africa wanakolipa hela taslimu basi uko out of touch na hali halisi ya Tanzania. Si wengi wanaomudu matibabu hayo. Hata Sheikh Yahya ilibidi achangiwe na Mkapa, na Mengi na Kikwete kwenda India, alwatan wa kidini ambae ungetegemea asaidiwe na BAKWATA ambako wanaweza kuwa na hela za misaada ya Saudi na Iran wanashindwa kumudu matibabu India. Itakuwa mtu wa kawaida?

Tusiwe out of touch.
 
sasa wote tukimbilie US kwa matibabu?

Sasa mkuu kama mtu anapata $ 20,000 kwa mwezi atashindwa kwenda kutibiwa US?

Tanzania ni nyumbani lakini kuna karaha zake sasa wananchi waliobahatika kuishi nje wakiziaddress hizi karaha wanaitwa sio wazalendo kweli tutafika kwa mwendo huu?
 
Last edited:


Sasa mkuu kama mtu anapata $ 20,000 atashindwa kwenda kutibiwa US?

Mwingine huyu out of touch. Tena huyu ni out of touch na sehemu zote, Tanzania na Marekani.

Marekani mtu anaepata $20,000 kwa mwaka kama ana familia basi anahitaji msaada wa serikali wa pango na hela ya kula. Sahau kumudu gharama za afya.

Sasa mbongo atawezaje kutoka na $20,000 zake kwa mwaka akaenda nazo US akategemea aweze kumudu matibabu ya US. Atakula nini mwaka mzima Tanzania?

Tusiwe out of touch.
 
1.
Dilunga;

Heshima na wewe pia, japo uliyoyasema yana mapungufu ya kutisha. Health care provision ni tatizo sugu katika baadhi ya nchi za nje kama vile Marekani. Hayamudiki bila bima ya afya kwa mtu wa kawaida. Zaidi ya watu millioni 40 hawana bima ya afya nchini humo kwa sababu hawawezi kumudu dola 400 mpaka 600 kwa mwezi, kwa familia. Na baadhi ya wenye bima wanasumbuliwa na urasimu ama wizi wa wazi wazi wanapougua kwa kuambiwa ugonjwa huo haupo kwenye makubaliano. Na hata ukiwa na hela za bima unaweza kukataliwa kuuziwa bima kwa kuambiwa kwamba wewe una magonjwa hatari tayari, hivyo hawakutaki. Na wakikukubali hawatakulipia hayo magonjwa uliyokuwa nayo kabla ya kupewa bima. Na ukienda hospitali Marekani bila hela taslimu wala bima utatamani uwe kwa Dokta Mvungi Kinondoni A.

- Kama kawaida yako, knowing all lakini knowing nothing, kama hujui how it works uliza usaidiwe maana kuna wabongo kibao wanafanya kama nilivyosema, waliwahi kuishi huko majuu na wanafanya haya ya kwenda kutibiwa tu, siku hizi majuu wameshitukia mchezow a kwenda kujifungulia watoto huko, US kuna illegal kibao sasa kwa maneno yako haya wanalipaje matibabu yao? Acha kukatisha tamaa wananchi hapa, mkuu punguza kidogo roho mbaya sio wka sababu umkeenda wewe tu basi wengine waseinde au wasiwe na maendeleo kama yako hiyo roho haifai mkuu.

2.
Pia shauri wako kwamba atakaerudi nyumbani "achonge line fulani ya kuhakikisha anaweza kupanda ndege ghafla kwenda kutibiwa" ni ushauri potofu. Ukiwa unaishi Tanzania ni vigumu kumudu gharama za matibabu ua Magharibi, na pia ni vigumu, kama sio haiwezekani, kuwa na bima wakati huishi na kufanya kazi huko. Watu wa huko bima za afya wanazipatia kazini.

- Ushauri potofu ni kama wakwako, ninakumbuak sana nilipotaka wkenda kuishi majuu niliwahi kukutana na watu kama wewe nilipowauliza majawabu yao yalikuwa kama yako, kukataa tu kila kitu ndio maana nikaamua kuwepa wale wote wenye mawazo mgando kama yako, nikaenda majuu kwanza nilitua Brussels nikaminya kama three weeks, nikaruka mpaka Montreal nikakaa wiki tatu, nikasogea Ottawa wiki nne nikakata border na kuingia US, nikasota na waya lakini mwishowe nikaanza kuona mwanga wale watu wenye mawazo kama yako ya kukatisha tamaa wakaanza kuniomba niwatumie shati na suruali, mkuu kuna wabongo kibao masikini wanatibiwa majuu kila siku kwa maarifa niyoyatoa, umauzi ni wa msikilizaji, mimi sikushangai maana nimewahi kuwona wengi sana bongo wkamba majuu ni lazima uwe na makaratasi ama sivyo huwezi kuishi huko, nonesense! na ni mawazo mgando!

- Hapa kwangu unaongea na master of this game mkuu, all my life nilikuwa mkata maborder, ingawa siku hizi ninayakata kihalali!


3.
Na kama unaongelea kujiandaa kupanda ndege kwenda India ama South Africa wanakolipa hela taslimu basi uko out of touch na hali halisi ya Tanzania. Si wengi wanaomudu matibabu hayo. Hata Sheikh Yahya ilibidi achangiwe na Mkapa, na Mengi na Kikwete kwenda India, alwatan wa kidini ambae ungetegemea asaidiwe na BAKWATA ambako wanaweza kuwa na hela za misaada ya Saudi na Iran wanashindwa kumudu matibabu India. Itakuwa mtu wa kawaida?

Tusiwe out of touch.

- Nimewazungumzia wabongo walioko majuu sasa, yaani washikaji na wahangaikaji, wewe uneongelea wa-Tanzania wote sasa unaona nani yuko out of touch na ukweli? Sheikh Yahaya ana tofauti gani na wewe? Hela zote azliokusanya katika maisha yake amepeleka wapi? Sasa unafikiri kwamba wka sababu huyo hana hela basi wabongo wote hawana hela?

- Mkuu again hapa unaongea na master of this game, wakati mwingine uwe unakubali wkamba kuna mengi kwenye maisha huyajui na hili la mbinu za kuishi majuu huzijui, uliza tulioishi hizi mbinu tukusaidie kabla na wewe hujaupanda mkenge wa bongo!

Respect.

FMES!
 
Mwingine huyu out of touch. Tena huyu ni out of touch na sehemu zote, Tanzania na Marekani.

Marekani mtu anaepata $20,000 kwa mwaka kama ana familia basi anahitaji msaada wa serikali wa pango na hela ya kula. Sahau kumudu gharama za afya.

Sasa mbongo atawezaje kutoka na $20,000 zake kwa mwaka akaenda nazo US akategemea aweze kumudu matibabu ya US. Atakula nini mwaka mzima Tanzania?

Tusiwe out of touch.

- Unaona ulivyo nje ya mstari yaani mtu anayeliwpa dola elfu 20 bongo eti hawezi kwenda tibiwa majuu, mkuu sometimes unachekesha sana, watu wanalipwa dola elfu tatu tu kwa mwezi na wanakwenda kutibiwa majuu, itakwua $ 20,000?


FMES
 
Mwingine huyu out of touch. Tena huyu ni out of touch na sehemu zote, Tanzania na Marekani.

Marekani mtu anaepata $20,000 kwa mwaka kama ana familia basi anahitaji msaada wa serikali wa pango na hela ya kula. Sahau kumudu gharama za afya.

Sasa mbongo atawezaje kutoka na $20,000 zake kwa mwaka akaenda nazo US akategemea aweze kumudu matibabu ya US. Atakula nini mwaka mzima Tanzania?

Tusiwe out of touch.

By the way hiyo $ 20,000 ni kwa mwezi, ukienda ukurasa wa 16 wa hii thread kuna mtu anazungumzia top execs wanapata mpaka $ 20K kwa mwezi.
 
Nimesoma katika thread moja Dilunga akiwa address kama Kuhani. Je, Kuhani na Dilunga ni mtu yule yule au ni watu wawili tofauti? Shukrani
 
Back
Top Bottom