.....waliosema America the beautiful hawakukosea,watu huku wameiva na kutakata ile mbaya kwa misosi,hewa safi,maji ya moto 24/7 na kila aina ya shampoo,education huku ni kwa kila mtu kama una nia na kazi kidogo tuu utasoma,huyo mnayemwita mpiga box ana afford cable with high definition,high speed internet,gari,blackberry,hata designer jeans sio big deal etc na bila kusahau anatuma school fees kwa wadogo zake wawili pale mlimani na tayari ana kiwanja boko na kila mwaka wako bongo,nyie na korosho zenu endeleeni kujipa moyo tuu wanaoishi states wana tough times,nafikiri inawafanya mjisikie vizuri kidogo (sio vibaya) lakini states sio league yenu ila mnakaribishwa kuja kuenjoy life kama wengine.