Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Status
Not open for further replies.
Kijana ameshakata tamaa, hakujua kuwa anaweza poromoka kirahisi na haraka kama jumba ya karata.
Siku zote alifikiri ni maarufu hawezi kuguswa,hajaamini kuwa ni mwanachama wa kawaida si hilo tu hata uanachama wenyewe ni kama amebakiza asilimia kiduchu.
Inaelekea kijana ameamua LIWALO NA LIWE
 
Ningeonana na Zito ningemshauri atulie. Tena aache kabisa kuegemea upande wa washabiki wake. Jambo muhimu angeenda jimboni kwake tu na asihangaike kuzungukia maeneo mengine. asubiri mambo yatulie. ajue kuwa washabiki wanabadlika na kuwa kubadilika huko hakuhusiani na yeye pekee bali na factors nyingi tu. Merma alibebwa yako wapi sasa. Kaburu ilikuwaje. Bado ZZK ni kijana sana hivo akitulia kuna future mbele ya safari. siasa ni mchezo mchafu hivo kila hatua iwe consistent na hali halisi. Demokrasi sawa, but not actual at all times.
 
Afukuzwe haraka!ni kansa hatari ikiachwa itasababisha ushindi wa hila za ccm na manabii wake wa uongo!Zzt ni zigo la misumari

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Namnukuu Dkt Slaa: enyi vijana mnaotumika vibaya mnaweza mkamfukuzisha huyu kijana Zito naongea kama Katibu mkuu wa chama.
Haya ndo maneno aliyozungumza for more details just go itv youtube utaona hiyo habari na uache tabia ya kama JK ya kuambiwa ama kusikia

Acha kupindisha ukweli!
 
Poleni WanaChadema JF na FB kwa kumjaza Slaa ujinga kuwa atafanya mambo ya kijinga kisha tutamfumbia macho na kumpigia kura za kumwingiza Ikulu 2015 kwa kifupi Dr Slaa asipobadilika anaweza kupata aibu kubwa hapo 2015 zile kura za 2010 zitapungua mno.Asidanganyike na ule umati unaokwenda kumsikiliza akidhani utampeleka Ikulu wengi huenda kujua ana kipi kipya cha kuongea,Tunaopiga kura ni sisi tusioenda kwenye mikutano

Mnapanga matokeo na NEC yenu. Hilo tulishalijua.
 
Mwanzoni niliona kama zito hakutendewa haki, lakini mwenendo wake sasa hivi unanishawishi kwamba maamuzi ya kamati kuu ni sahihi! Hivyo na mimi nasema "AFUKUZWE TU MAANA TUMECHOKA" kwani yeye si mungu!
 
Acha pumba natumia mtandao wangu mwenyewe mie sio mtu kama wewe wa Buku 7 mie namfuatilia sana huyu Zitto namfahamu uzuri kuliko yeye ajifahamuvyo thus why nasema AFUKUZWE TU hapa moja kwa moja wewe ni mfuasi wa Zitto na ndio nyie Dr Slaa anaowaongelea,mie nipo Kichama zaidi na siko kwa Dr Slaa wala Zitto,wake up

Acha uma.ma wewe unamfamuje mtu kuliko asivyojijua?
 
Katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),Dr.Wilbroad Slaa amesema Zitto anaweza kufukuzwa kabisa na amewaonyo wafuasi wake waache kutumika kwa kusainishwa document fake, "nawaonya mnaomshauri mnaweza kumpoteza huyu kijana",alisema Dr.Slaa.

Pia, Dr.Slaa amesema yeye kama katibu mkuu hajatoa form zozote zinazodaiwa kuoka makao makuu ambazo zinasambazwa ili zisainiwe.

Dr.Slaa katoa kauli hiyo leo mkoani Tabora wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara.

CHANZO:ITV

Tangu lini katibu wa chama akawa na mamlaka zaidi ya KK ya chama, huu ni udikteta wa hali ya juu.
 
Ninapomuona Zitto wa kawaida ni pale hajifunzi frm past experience ya waliwahi fukuzwa CDM na hata vyama vingine. Zaidi ni pale vitangulizi vyake vimepotea kabisa, i.e Juliana Shenzi et al.
 
Wamfukuze CHADEMA haitaingia IKULU wasimfukuze CHADEMA haitaingia IKULU
Na Slaa hatakuwa Raisi wa Tanzania hata baada ya miaka 100
 
Niliwahi kusema hapa kwamba rungu linalokuja kwa Zitto ni kubwa zaidi. I can't wait to see!
 
Huyu mzee ana matatizo gani? yaaani u-dikteta umemkaa kupita maelezo!

Hvi Mungu wakati unawachukua akina Mandela wenye faida kubwa kwa dunia kwann usimchkue huyu Kasheshe.Hopeless kabisa.
 
Sio anaponzwa jamani muwe watu wazima kwa kusoma matendo na kutoa conclusion.
Huo ni mkakati maalum unaoratibiwa na mtandao maalumu ukiwa na watu wa CCM.
Sasa tusiwe tunamung'unya maneno eti Zitto hajui anaponzwa tu. AONDOKE TU NDIO ITAKUWA SALAMA YETU CDM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom