Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Status
Not open for further replies.
....afukuzwe tu tufanye mambo mengine...
 
Nikusahihishe kidogo......alisema....."anaweza kufukuzwa na sio atafukuzwa..."
 
nawashangaa wanaohangaika kuzuia kifo cha machadema
 
Haka katoto Lumumba mnakakuza sana kutwa kucha ni kujaza server zetu na upuuzi wake tu!jamani kile kikao ni lini mkatimue?tumekachoka kwa kweli!ngoja tukatoe nduki ili tuharibie watu ajira hapa manake mnalipwa buku 7 kwa kukapigia vijikampeni uchwara humu.eti mbunge wa CHADEMA anapigiwa kampeni na CCM,hamlali,hamsinzii,mahaba tele kwa katoto ketu,kamewafanya nini jamani haka katoto ni katundu kweli sijui kamewafanya nini Lumumba boys mpaka hawakasahau,wanataka tena kwii kwii kwi kwi kwiii!ngoja tuwasaidieni tukatimue kaje huko huko kawarushe roho vizuri!
 
Yan CCM watahangaika sana kama wamekalia ----- ila hawatoweza,., Go CDM go

cheap one....
umetumia vigezo gani kutoa suluhisho???

nyie wanazu wa siasa nyie...fikirisheni vichwa...
wenzenu wanatafuta soko mjini apa nyie mnaburuzwa tu..
 
Slaa angekuwa ndiye mwalimu Nyerere enzi zile za akina bibi titi mohamed akina mirisho sarakikya angefanyaje. Dr akili imeishia kwenye vitobo. I hate u dr slaa i hate u cdm.
Hivi wewe ni wa kike kweli.

Nakusikitikia.

Laiti ungalikuwa na akili japo ya ukubwa wa punje ya haradani basi ungaligungundua jinsi ulivyojitusi.
 
Dawa ya yote haya ni kufukuza MM nyie viongozi cdm ndiyo mnayalea haya
 
1. Kama kauli hii haina makosa, je chadema ni ya kidemokrasia au ya kiimla?
2. Hakuna utaratibu wa kutolea maamuzi halali kuhusu mambo ya chama?
3. Km ameshafukuzwa kwanini mnakasirika akifanya mikutano mkoani kwake?
4. Kwanini nyie mnamdhalilisha halafu hamumpi fursa ya kujitetea?

is that democracy? Chadema acheni ulaghai, watz sio wajinga kiasi hicho

Ametahadharishwa kwa kuwa anapendwa. Hiyo shule ya kata haijakusaidia mkuu kuuondoa huo ukungu kwenye ubongo?
 
nawashangaa wanaohangaika kuzuia kifo cha machadema
huyu mzee siyo gongo tu. lazima na tukuber(tambuu)mimi nilishangamushutukia siku nyingi.ila kwasasa ameanika mwenyewe diyo maana hata chama anakichanganya kama ambavyo alivyoichanganya familia yake.du. huyu ni jasiri kweli!
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila kujua.

Alisema kuwa mkakati huo umetolewa na watu aliowaita matapeli wa kisiasa, ambao wanasambaza barua katika maeneo kadhaa wakisema kuwa imetoka Makao Makuu ya CHADEMA ikiambatanishwa na fomu ambayo wanaambiwa wasaini kuonyesha wanataka kufanyika kwa kikao cha dharura cha Baraza Kuu la chama hicho.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara mjini Nzega juzi, pia katika Kijiji cha Nanga na mjini Igunga jana, Dk. Slaa alisema kuwa hila za watu hao wanaolenga kuwarubuni viongozi wa chini wa chama hicho ili waonekane wanapinga uamuzi wa Kamati Kuu iliyochukua hatua za kinidhamu dhidi ya mbunge Zitto Kabwe na wenzake, zimebainika baada ya kushtukia ulaghai huo.

“Nataka kutoa ufafanuzi wa suala hili la kitaifa kupitia mikutano hii ili niwajulishe viongozi na wanachama wote kwa pamoja badala ya kumjibu mtu mmoja mmoja, kwamba tumenasa mkakati huo unaoandaliwa na watu wanaotaka CHADEMA isiwepo.

“Wamepeleka barua kwa baadhi ya viongozi wetu mathalani mikoa ya Lindi na Mtwara, ambayo imeambatanishwa na fomu ambazo hazijaandikwa kitu chochote pale juu, lakini wanaambiwa wasaini.

Tumegundua nia yao ni kufanya kitu kinaitwa ‘petition’ dhidi ya maamuzi ya chama. Tunasema huo ni uasi.

Hiki kibabu kinachanganyikiwa! Kila siku kinajifanya kimegundua siri,sijui nini, wote ni kuogopa kivuli chake kwa ujuha wake!
 
huyu mzee siyo gongo tu. lazima na tukuber(tambuu)mimi nilishangamushutukia siku nyingi.ila kwasasa ameanika mwenyewe diyo maana hata chama anakichanganya kama ambavyo alivyoichanganya familia yake.du. huyu ni jasiri kweli!

Uharo mtupu,rudi darasani kwani hata MEMKWA inakufaa!
 
Hiki kibabu kinachanganyikiwa! Kila siku kinajifanya kimegundua siri,sijui nini, wote ni kuogopa kivuli chake kwa ujuha wake!

MACCM mtatapa tapa sana,CDM ipo na itaendelea kuwanyima usingizi! hizi kelele zenu tunazipuuza na kama mliamini sana katika mapandikizi yenu MAMM mlijiroga CDM HAIFI NA 2015 MTAJIBEBA,WASALITI WENU WATATOSWA NA HUO NDIO UTAKUWA MWISHO WA KELELE ZENU!
 
Una laana ya wazazi,wahi haraka ukatubu! CDM itawapa presha buree!

Tangu ameanza kuhutubia kanda ya Huko Magharibi, ni mikakati gani ameongelea ya Kuunda serikali makini,kuongeza pato la taifa,kuongoza kwa sheria na kanuni, kudhibiti uvunjifu wa amani, kuwaunganisha watanzania, kuwezesha pato la mmoja mmoja!? Kutwa ni kupambana tu, kupambana tu,kuandamana,kusaka wahaini na wasaliti ndani ya chama! Kubaini wanaohujumu chadema! Ha ha ha!
 
MACCM mtatapa tapa sana,CDM ipo na itaendelea kuwanyima usingizi! hizi kelele zenu tunazipuuza na kama mliamini sana katika mapandikizi yenu MAMM mlijiroga CDM HAIFI NA 2015 MTAJIBEBA,WASALITI WENU WATATOSWA NA HUO NDIO UTAKUWA MWISHO WA KELELE ZENU!

Na huo ndio utakuwa mwisho wa chadema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom