BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Tangu lini mjinga akaujua ujinga wake. Povu linawatoka nyie mnaodai Zitto kaonewa, Zitto maarufu kuliko CHADEMA, Zitto maarufu kuliko Dr Slaa yote haya yanawahusu nini? Ndani ya chama chenu kuna matatizo kibao mpaka kufukuzana Uwaziri kwanini hamyashughulikii na kuyamaliza? Kutwa kucha Zitto hivi Zitto vile blah blah blah. Sijamsikia kiongozi yoyote ndani ya MACCM akiwemo Kikwete ambaye inasemekana ni marafiki wakubwa Mang'ula, Kinana, Nape, January au mwingine yeyote aseme kuna opportunity hapa ya kuimaliza CHADEMA kwa kumpa uanachama Zitto ambaye ni maarufu kuliko CHADEMA na pia ni maarufu kuliko kiongozi yeyote wa CHADEMA. Povu zinawatoka ili abaki CHADEMA. Mmeshawahi kujiuliza kwanini Kikwete, Mang'ula, Kinana, Mwigulu, Nape, Pinda hawachangamki katika kumsajili Zitto ili naye ajiunge na MACCM!? Tafakari kwa kina badala ya kuendelea kutoa povu.
umekamatwa mkuu
matusi na povu la nini?? kama umeamua kuweka akili mfukoni kwa chuki zako kwa zitto
sio wote wajinga