Nimesoma nao wengi sana ila nadhani upstairs huwa kuna shida fulani!!!!!![/Q
Nicholas
Yesterday 14:51
BannedArray
Join Date : 7th March 2006
Posts : 11,256
Rep Power : 0
Likes Received
2602
Likes Given
4945
Zitto atikisa KASULU, Mkutano wa hadhara
hakuna watu hapo..ni upigaji picture tuu,na wengine hawaendi hata meter 100,wanarudi ktk shughuli zao.
ILA KIGOMA IMECHAKAA..KWELI LAANA YA KUUZANA UTUMWANI NA UCHWAI NI MBAYA..hakuta tena glory kigoma baada ya bishara haramu ya utumwa kufa,hata chumzi na dagaa, madini na kila kitu havijawaweza ibadili,zaidi ya Hela za watu wa nje..tena si hata waarabu waliowanunua watu wao...wala CCM iliyowanunua wanasiasa wao.
The Stig
Yesterday 18:15
Join Date : 11th April 2011
Posts : 503
Rep Power : 541
Likes Received
217
Likes Given
56
[ By
lutayega
Haijawahi kutokea hapa kasulu mjini. Umati ni mkubwa sana, kwa kigoma zitto ni zaidi ya cdm na kama wakimfukuza cdm itakufa kigoma
Naishauri chadema iachane na kigoma. Hata taifa la Marekani kuna majimbo yanajulikan ni ya red (republican) na blue (democrat). Siyo lazima kila mkoa uwe wako ili ushinde uchaguzi wa kitaifa. La muhimu ni kujoipanga kwenye mikoa kama mwanza, shimiyu, mbeya, dar, tabora, moro, iringa, kili na arusha.