Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Dr.Slaa: Zitto anaweza kufukuzwa kabisa

Status
Not open for further replies.
Nilishasema sana jamani,hii ni saccos ya watu,hamkunielewa, haya sasa mnayaona wenyewe!

Kama kweli hii ni SACCOS basi serikali inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi ni dhaifu sana, kama imeweza kusajili saccos kwa Msajili wa vyama vya siasa kama Chama cha siasa na kukipa ruzuku na ulinzi kwenye mikutano yake, serikali hii haifai kuwepo madarakani na ndiyo maana inaboronga kila kukicha...... inabadili mawaziri kila mwaka kwasababu hawajui wafanye nini.... Mwisho wanaamua WAPIGWE TU maana serikali imechoka, imechakaa, imekuwa serikali CHAKAVU...... KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
 
Hizi ni double standards za Chadema, wasiposimamia haki, watakuwa haunted na udhalimu wao hadi kuzimu!.
Pasco.
Nilishawahi kusema kuwa Mh. Zitto siyo 'maraika' kama wanavyotakiwa kuwa wanachama wengine na kutokana na hivyo, lazima aadhibiwe kwa ubinadamu wake kama walivyobinadamu wengine ndani ya chama. Hii ya kufanya wengine kuwa maraika na wengine kuwa binadamu ndani ya chama ndiyo mwanzo wa migogoro tunayoiona ndani ya chama.

Nilishawahi pia kusema, hakuna kitu kibaya katika ubinadamu kama kuwa mbaguzi. Hata kutokutenda haki nao ni ubaguzi kama ulivyo ubaguzi wingine.

Kama watatenda huu ubaguzi, basi hawawezi kusalimika kwenye gharika la Law of Cause and Effect which says, As you sow, so shall you reap.
 
Hii kampuni sio chama tena. Kinaendeshwa kiimla utadhani familia

Kwani kazi ya kiongozi yeyote katika taasisi ni nini?? Kama kiongozi hawezi kutoa maamuzi basi hafai huyo ............. usitegemee wakikaa huko kwenye kamati maamuzi yote kama hayo ni lazima yapigiwe kura. Kama kuna ushahidi wa wazi (ambao sijauona) kuwa Zito kakisariti chama, nafikiri adhabu yake ni kufukuzwa tu. Period!!
 
R.I.P Chacha Wangwe Mzimu wake umecharuka unadai Padri Dr hajawahi kuitisha misa kumwombea wala hataki hata kuzulu kaburi lake wala kulipia Bango TBC wankumbuke chezea Mzimu wewe.......

Na wewe ni great thinker?
 
Watanzania tukubari kutofautiana kimawazo na kimtazamo, inasikitisha kuona baadhi ya watanzania kuwatukana km si kuwadhihaki wananchi wa Kasulu Kumpokea Zito Kabwe, wananchi wana makosa gani kumpokea? km zito ana makosa au viongozi wa Wilaya au mkoa wanaanchi wanahusika vipi? MBONA MZEE WA VIJISENT A. CHENGE ALIPOKEWA KM SHUJAA HUKO SHINYANGA WAKATI ALIKWAPUA PESA ZA WALALA HOI na hajawahi kukamatwa au kuhojiwa. MBONA MHESHIMIWA LOWASA alipokea kama shujaa jimboni kwakemwaka ule alopoachishwa kazi? Kwa mtingo huu wa wanachama wa CDM kuwatukana wananchi wa Kigoma kisa kumpokea Zito halikubariki na ukosefu wa uvumilivu kwa watu wanaotofautianana na mtazamo wenu.

Tujifunze CCM, tukumbuke kundi la akina NAPE, SITA NA wengine walipoanzisha CHAMA CHA JAMII (CCJ) wahakufukuzwa ndani ya chama? CDM mjifunze kuvumiliana na kutofautiana. umasikini mkoa wa Kigoma tangu uhuru umesababishwa na serikali ya CCM kwa kuleta siasa za kibaguzi na ukanda. wananchi wa kigoma siyo bongo lala ndiyo maana waliidhibu CCM. siasa za matusi na ubaguzi wa kikanda kwa mstakabri wa taifa hazifai. wnanchi wameandamana kwa amani.

Matusi km haya hapa chini siyo sahihi kwa wananchi wa Kasulu, tunaomba moderator mchukue hatua stahiki kwa dhihaka badala ya kuchangia hoja ya kisiasa km uzi unavyoelekeza.



By fikirikwanza
umenena vema mandela wa kg, hilo hakuna mtu anaweza kuwakataza wanakg, lakin kg ni nini hasa hapa tz??? Tuanze na kummuuliza mwalimu??? Aliwahi kusema hivi wananchi wa kigoma mkigoma ninamgomea nani??? Alijua kg haina cha kumuumiza mtz mwingine au ninakosea???. So leo nikiamua funza awe malikia wenu vile kila kidole amekugusa ni hiari yenu wanakg, ruksa hiyo ni awamu ya pili.

Awamu ya tatu, alisema watz ni wavivu wa kufikiri, ukweli wavivu namba 1 ni mkoa wa mwisho kimaendeleo ambapo uktaja kg haikosi ilo orodha, huwezi sema mwanza au dar u arusha ni wavivu wa kufkiri wakati maendeleoo yanaonekana. Wavivu wakufikiri watakuwa kg na wenzake

awamu yanne niseme????? Kwanza tutafakari hayo juu. Jk alipuuza hata kupiga kampeni kg kaskazini maana alijua mbulula zitampigia kura tu, kama unabisha angalia kura alizopata kg wakati hakupiga kampeni

sasa ukiona leo wanashangilia mtuhumiwa wa usaliti bila kuhoji, ni yaleyale ambayo wakuu waliyaona siku mingi sana


Nimesoma nao wengi sana ila nadhani upstairs huwa kuna shida fulani!!!!!![/Q


Nicholas
Yesterday 14:51

BannedArray
Join Date : 7th March 2006
Posts : 11,256
Rep Power : 0
Likes Received
2602
Likes Given
4945

Zitto atikisa KASULU, Mkutano wa hadhara


hakuna watu hapo..ni upigaji picture tuu,na wengine hawaendi hata meter 100,wanarudi ktk shughuli zao.

ILA KIGOMA IMECHAKAA..KWELI LAANA YA KUUZANA UTUMWANI NA UCHWAI NI MBAYA..hakuta tena glory kigoma baada ya bishara haramu ya utumwa kufa,hata chumzi na dagaa, madini na kila kitu havijawaweza ibadili,zaidi ya Hela za watu wa nje..tena si hata waarabu waliowanunua watu wao...wala CCM iliyowanunua wanasiasa wao.



The Stig
Yesterday 18:15
Join Date : 11th April 2011
Posts : 503
Rep Power : 541
Likes Received
217
Likes Given
56

[ By lutayega
Haijawahi kutokea hapa kasulu mjini. Umati ni mkubwa sana, kwa kigoma zitto ni zaidi ya cdm na kama wakimfukuza cdm itakufa kigoma
Naishauri chadema iachane na kigoma. Hata taifa la Marekani kuna majimbo yanajulikan ni ya red (republican) na blue (democrat). Siyo lazima kila mkoa uwe wako ili ushinde uchaguzi wa kitaifa. La muhimu ni kujoipanga kwenye mikoa kama mwanza, shimiyu, mbeya, dar, tabora, moro, iringa, kili na arusha.
 
Binafsi naumia sana!naumia sana kuona chama changu kinadhalilika!nasikitika sana kuona wachache wenye kununuliwa wakiendelea kutamba na kudai wana haki ya kufanya chochotw ndani ya chama!!!Chadema chukueni hatua madhubuti!!!futilia mbali hawa mbwa mwitu wanaojivika ngozi ya kondoo
 
Nilishasema sana jamani,hii ni saccos ya watu,hamkunielewa, haya sasa mnayaona wenyewe!

Unaijua SACCOS wewe au unasikia kwa watu! ,mtaumia sana MAFISADI,WAUAJI NA WATESAJI ,CDM MOTO MPAKA IKULU,CCM mnazuia mafuriko ya CDM KWA mikono sasa mmeshindwa mnapiga zogo.People s....
 
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amesema kuwa chama hicho kimenasa mkakati mzito uliolenga kuwarubuni viongozi wa wilaya wa chama hicho wafanye uasi bila kujua.

Alisema kuwa mkakati huo umetolewa na watu aliowaita matapeli wa kisiasa, ambao wanasambaza barua katika maeneo kadhaa wakisema kuwa imetoka Makao Makuu ya CHADEMA ikiambatanishwa na fomu ambayo wanaambiwa wasaini kuonyesha wanataka kufanyika kwa kikao cha dharura cha Baraza Kuu la chama hicho.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara mjini Nzega juzi, pia katika Kijiji cha Nanga na mjini Igunga jana, Dk. Slaa alisema kuwa hila za watu hao wanaolenga kuwarubuni viongozi wa chini wa chama hicho ili waonekane wanapinga uamuzi wa Kamati Kuu iliyochukua hatua za kinidhamu dhidi ya mbunge Zitto Kabwe na wenzake, zimebainika baada ya kushtukia ulaghai huo.

"Nataka kutoa ufafanuzi wa suala hili la kitaifa kupitia mikutano hii ili niwajulishe viongozi na wanachama wote kwa pamoja badala ya kumjibu mtu mmoja mmoja, kwamba tumenasa mkakati huo unaoandaliwa na watu wanaotaka CHADEMA isiwepo.

"Wamepeleka barua kwa baadhi ya viongozi wetu mathalani mikoa ya Lindi na Mtwara, ambayo imeambatanishwa na fomu ambazo hazijaandikwa kitu chochote pale juu, lakini wanaambiwa wasaini.

Tumegundua nia yao ni kufanya kitu kinaitwa ‘petition' dhidi ya maamuzi ya chama. Tunasema huo ni uasi.
 
Nilishasema sana jamani,hii ni saccos ya watu,hamkunielewa, haya sasa mnayaona wenyewe!

Kama kweli hii ni SACCOS basi serikali inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi ni dhaifu sana, kama imeweza kusajili saccos kwa Msajili wa vyama vya siasa kama Chama cha siasa na kukipa ruzuku na ulinzi kwenye mikutano yake, serikali hii haifai kuwepo madarakani na ndiyo maana inaboronga kila kukicha...... inabadili mawaziri kila mwaka kwasababu hawajui wafanye nini.... Mwisho wanaamua WAPIGWE TU maana serikali imechoka, imechakaa, imekuwa serikali CHAKAVU...... KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
 
Kiitifaki dr slaa ni mtu wa tatu kitoka kwa mwenyekiti, na kwa sasa ambapo hakuna makam mwenyekiti, yeye ni mtu wa pili.lakini yeye ndio mtendaji mkuu kabisa wa chama.

Dr slaa amekaririwa akiwa tabora jana akisema kuwa "zitto atafukuzwa kabisa uanachama" je kwa kauli hii kuna haja ya kusubiri siku 14? Je hukumu ndio hiyo imeshatolewa? Je hiyo ndio demokrasia ndani ya chadema? Ndio utaratibu wa chadema kuhukumu majukwaani??

my take: tuenende tunayoyahubiri. Unayopenda kufanyiwa mtendee mwenzio, usiyopenda kufanyiwa usimtendee mwenzio

nenda ukawe katibu wewe ili uongee ya kwako achana na chadema sio size yako wewe nenda lumumba na mimi nasema atafukuzwa
 
Kwani bado siku 14 zinasubiriwa? Mbona zilishaisha na hukumu ndio kama hiyo? JK amewang'oa mawaziri wanne akiwa USA, akisharudi Dar ni utekelezaji tu, wala haihitaji utetezi hapo!

JK amefanyaje? JK gani huyu ninayemfahamu au unaongelea JK mwingine? Amewang'oa.... kwa lipi.... kwani wamemfanyaje?
 
Chadema kwa sasa iko "in between the devil and the deep blue sea!", inahitaji busara kidogo kujiokoa, au hiyo busara kidogo ikikosekana, then inaweza ikaanza kujipotezea!. Tatizo ni kuchezea "powers" za watu!.
Ili mtu uchezee powers za mtu, lazima kwanza ujipime, unazo powers za kukabiliana na huyo unaeshindana nae!, kwa upande wa Zitto, ule ni msuli kweli!, Dr hafui dafu!. Waabudio watu hawaamini mungu wao hawezi!. Watu wanamtegemea Mungu kweli sio hawa miungu watu!.
Soon Chadema inapaswa kutenda yakipasayo kutenda, the sooner the better!, vinginevyo itajuta na majuto siku zote ni mjukuu!.
Pasco.

hakuna mahala cdm itakuja kujuta. Anaejuta ni zito anaetumiwa na ccm kulazimisha kubaki cdm. Zito akitoka leo ni sherehe kwa cdm na ni msiba mzito kwa zito na ccm. Nani analazimisha?
 
Kiitifaki dr slaa ni mtu wa tatu kitoka kwa mwenyekiti, na kwa sasa ambapo hakuna makam mwenyekiti, yeye ni mtu wa pili.lakini yeye ndio mtendaji mkuu kabisa wa chama.

Dr slaa amekaririwa akiwa tabora jana akisema kuwa "zitto atafukuzwa kabisa uanachama" je kwa kauli hii kuna haja ya kusubiri siku 14? Je hukumu ndio hiyo imeshatolewa? Je hiyo ndio demokrasia ndani ya chadema? Ndio utaratibu wa chadema kuhukumu majukwaani??

my take: tuenende tunayoyahubiri. Unayopenda kufanyiwa mtendee mwenzio, usiyopenda kufanyiwa usimtendee mwenzio
Wacha ujinga wako hapa.Mbona humalizii kauli ya Dr Slaa? Alisema Zitto atafukuzwa uanachama kwa sababu gani? Malizia sasa.
 
Yan CCM watahangaika sana kama wamekalia ----- ila hawatoweza,., Go CDM go
 
nenda ukawe katibu wewe ili uongee ya kwako achana na chadema sio size yako wewe nenda lumumba na mimi nasema atafukuzwa

mmeshikwa pabaya naona mnatoa povu tu na bado mpaka mtatoa haja kubwa hadharan.
 
Babu anaweweseka kama karatasi haijaandikwa kitu yeye amejuaje kama wanataka mkutano wa dharura wa baraza kuu?
 
Mbona siku zishapita zamani au hujuiiiii kuhesabuu walisema kwa mbwembweeeeeeee mapovu mengiii lakin kimyaaaa nilimuona Babu anapayuka katokwa povuu haaahaaaa safi sana Zitoo ni moto lazimaa muunguee na mkifukuzaaa ndio mmejiuaa
 
Huyu mzee ana matatizo gani? yaaani u-dikteta umemkaa kupita maelezo!

Watanzania tu wajinga mno, humu hatuoji tuhuma zilizotolewa kujua ka kuna ukweli, watu wamekalia zitto tu, mamilioni yanatolewa na serikali nani anajua matumimizi yake? mtu wa kwanza mpaka wa 5 kaskazini wanaohusika na uizinishaji fedha. tafakari kwanza na chuja hoja mnaliwa nyie mmekalia kelele tu wanawapumbaza tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom