Mkuu,unataka kusema atakayeweza kusimama kwenye mdahalo na Dr. Slaa ndio atakuwa kiongozi bora na atakayewaletea watanzania matumaini ya kupata maendeleo wanayoyataka.
Uwezo wa kujieleza katika midahalo ni kipaji na sanaa kama vipaji na sanaa nyingine lakini kamwe haiwezi kuwa kigezo au sifa ya kiongozi bora,mwenye nia ya dhati ya kufanya mabadiliko.
Ulishawahi kuna wagombea urais katika nchi zozote zilizoendelea wamefanya kampeni hadi uchaguzi bila ya midahalo? Au Tanzania ni exceptional ndiyo maana watu wanaweza kumshabikia mtuhumiwa wa ufisadi bila aibu
nilikua sijawahi kumsikia lowasa akiongea popote, hata bungeni sikuwahi kumsikia akichangia chochote, lakini kwa hutuba yake ile leo, hakuna shaka yule jamaa ni kichwa maji, hafai hata ukuu wa wilaya achilia mbali urais...
Hivi kweli Lowassa anaweza kushiriki mdahalo wa uraisi na mtu kama Dr.Slaa na akamudu kujibu hoja na changamoto zote zitakazojitokeza katika mdahalo huo?
"safari ya matumaini" kuchukua watu kwa malori kutoka mikoa ya mwanza,geita,manyara,tanga,kilimankaro,singida,shanyanga,simiyu,tabora na mikoa mengine ili kujaza uwanja. Huoni kama huko ni zaidi ya kujifariji!?
Kujieleza sio tatizo, Lowasa hayuko vızuri kichwani na ni mlaghai tu.Mtu mzuri anaonekana hata km hawezi kuwasiliana vizuri.Hotuba yake haikuwa na focus lıcha ya kuwa alikuwa akisoma.
Hebu fikiria kidogo.
China umeme ilio nao ni mwingi kuliko wa hapa nchi na viwanda ni vingi vinatengeneza sana kuuza ndani na nje ili kuweza pata faida.
Hapa kwetu umeme ni shida, viwanda vichache, no competition hivyo bei inakuwa kubwa.