Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
CCM hawana watu wa kupiga kura humu JF labda wawalipe vizuri kina MSALANI; FaizaFoxy; SimiyuYetu; Sixgate; Erythrocytes; Shonza; n.k
 

Khaa!!! Urais upi? Tanganyika? Z'bar? Au muungano?? Katiba bado nyie mmeanza kura. Tujifunze kutumia resources zetu vizuri. Au kama labda mnataka kupunguza stresses hapo sawa
 
Edward Lowassa chaguo la watanzania
 
CCM hawana watu wa kupiga kura humu JF labda wawalipe vizuri kina MSALANI; FaizaFoxy; SimiyuYetu; Sixgate; Erythrocytes; Shonza; n.k

wako wachache sana. Pamoja na multiple ID's zao hawazidi 60.
 
ni dr slaa pekee wa lkutuvusha kwenda kwenye nchi ya maziwa na asali
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…