Eti padre wajinga wakubwa, kwani padre siyo mtanzania, tunahitaji mtanzania na bila kujali dhehebu gani.Dr.slaa padre mstaafu asiye na kashfa atosha.Hatuhitaji mwizi na mchonganishi wa wakulima na waFUGAJI, YEYE EL MFUGAJI LAKINI HAPENDI WAKULIMA HILO LIKO WAZI
MODS NAOMBA MUWASAIDIE WATU WANAOTUMIA SIMU WAWEZE KUVOTE. Badili view toka Mobile iende Touch, kisha badili iwe fullsite, hapo utautafuta uzi huu kwenye jukwaa la siasa, kisha utapiha kura hapo.