Wakati gazeti la
Nipashe likianzisha kura ya maoni miongoni mwa wana-CCM wanaotajwa
kuwania kuteuliwa na CCM kuwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu
ujao kugombea nafasi ya uraisi kupitia chama hicho na huku bwana Lowassa
akiongoza kwa kura,nafikiri ni busara na sisi kupitia mtando huu wa JF
kumpambanisha bwana Lowassa na Dr. Slaa katika kinyang'aricho hicho cha
uraisi kwa mwaka 2015.
Tupige kura kwa kuandika jina tu la mgombea unaedhani atafaa kuwa raisi
endapo itatokea hao wawili wanateuliwa kuviwakilisha vyama vyao katika
uchaguzi mkuu ujao.
NB😛iga kura bila kuendesha campaign yoyote.