Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Umeona eeeeeh!!!!!!!!!!!! Dr. Slaa ni chaguo la Mungu alitakiwa kuwa Rais toka 2010 sema tu mafisadi walifisadi ila 2015 wajaribu ujinga wao cha moto watakipata @ Sweetlady

Nimeona Yuda Msaliti... 2015 hawatapata nafasi ya kuiba tena manake tutazilinda kura zetu kwa gharama yoyote!
 
Last edited by a moderator:
bht !!!!!! ... Nikajua umehamia nchi ambayo jf haishiki lol.... Kura za dr wetu wa ukweli zimeshatosha dia wangu..... Anasubiri tu kuapishwa 2015
Nimechoshwa tu na mambo ya nchi hii bana. Nikajiweka pembeni kuepusha msongamano. I am now only doing what is within my powers.
 
Nimechoshwa tu na mambo ya nchi hii bana. Nikajiweka pembeni kuepusha msongamano. I am now only doing what is within my powers.

Aisee pole my dia manake kiukweli yanachosha mno... Ukiamua kuyafuatilia yote unawezajikuta unawehuka.... Afu uchekwe bure!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom