Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,928
- 133,983
Mods ingekuwa poa kama mngeiacha jukwaa la siasa ili kukata mzizi wa fitna.
huu ndio wakat wa ben aka yahaya kutumia zile id zake zoteeee
omba mods watengeneze poll, ndio tupige kura hivi kura utahesabu vipi sasa....
Una uhakika gani?We mungu?!Kwa 2015 hakuna atakae shika urais kati ya hao wawili ingawa wana nguvu kwenye vyama vyao na wanakubalika.
huu ndio wakat wa ben aka yahaya kutumia zile id zake zoteeee