Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Hivi wote nyie hamjakiona kitufe cha kupiga kura hapo juu? Tuliopiga kura halali ni 20 tu hizi mnazoandika hapa ni batili yaani zimeharibika....Dr Slaa any way
 
Dr W P Slaa ndo muarobaini wa matatizo yote ya nchi hii.
 
kura yangu imeharibika.
Wagombea wote ni vimeo tu, maana mwingine fisadi mwingine mzinzi.

Fisadi na mzinzi anayesimamia mambo ya nchi kiuadilifu Nani zaidi? Hollande wa France ni fisadi? Hayo mambo binafsi hayatuhusu.
 
Awa wote chama kimoja nijuavyo EL mgombea Urais Slaa mgombea mwenza

Sijaelewa kwa hiyo Slaa atahamia CCM au Lowasa atakuja CDM? Je kuhusu katiba inavosema kama candidate atatoka visiwani, mwenza itabidi awe bara vp rasimu imerekebsha??
 
Salary Slip Ndugu yangu mimi sio Mungu na naomba usinifananishe nae, mbona hujamuuliza mleta mada kwamba amejuaje kama hao ndio watakao gombea uraisi kwani yeye Mungu?. Niulize kitu kingine
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom