Hayo ndio mawazo mema.mwisho wa siku wanaukawa tutampitisha atakaeungwa mkono na wengi. Vivaa ukawaaa!
Dr.slaa ni mtu makini ni kizazi cha Nyerere ,sidhani kuna wa kumlinganisha na wenye kutafuta ufalme ndani ya ccm!, kama akina Lowasa huhangaika kutoa rushwa ili waupate sijui watazirudishaje sioni tofauti ya Liwassa,marecela,makamba,sumaye,membe,na ngereja mwenye kujenga ghorofa la milioni 400 ndani ya miaka mitatu ya uwaziri