Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

siku watanzania tukijichanganya tukamuweka slaa madarakani tutakuwa tumefanya first class mistake
 
Hata hivyo mshauri aoe kwanza ndo agombee, hatuwez kuongozwa na bachelor, amuoe huyo mpayukaji josephine ambae sasa anatambulika kama mchumba wake!
 
Usiturushie njiwa wetu. Simba mwenda kimya,.... Muda ukifika mdipo wataujua mziki wa CHADEMA.
 
Chadema imemshinda ataiweza tz? Yule arudi tu kanisani akahubiri injili
 
Watz hawako tayari kuongozwa na kale kazee...hivi ule mkono mbovu alianguka bafuni alikuwa anafanyaje??
 
Mzinzi awe rais? Unachekesha kweli wewe.

hata jackob zuma ,sarkozy,clinton ,jk,wakati wanagombea urais walisema maneno hayohayo na wakawa maraisi.Mungu akikuchagua ndio basi tena
 
ukweli unauma ccm naona wameshaanza kuweweseka bado Dr Slaa tunamwombee kila la heri afya njema na maisha marefu zaidi ndo raisi wetu mtarajiwa
 
Kuna vichaa aina nyingi sana... ila cha kumhusisha Mungu kwenye alinacha huwa hakina dawa
 
Watz hawako tayari kuongozwa na kale kazee...hivi ule mkono mbovu alianguka bafuni alikuwa anafanyaje??

usiseme watanzania ,sema wewe peke yako,mbona hujiamini mkuu,karibu chadema maji ya uzima yanapatikana chadema.Huko uliko utanyweshwa maji ya ufisadi
 
Duh! Kwanza Mtei atamteua tena huyo? Mawee!

Kajipigia pesa peke yake hajafika kwa Mzee, ana mzozo mkubwa sana saa hizi, wanafanya siri tu.
 
Back
Top Bottom