Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

Dr. Slaa: Sina Mpango wa kugombea Urais 2015

umeguswa na ukweli nini

huwa sipendi unafiki wa kuona nyekundu na kusema njano.
upo kiushabiki na c hali halisi iliyopo.
dr. slaa alipendwa na co anapendwa.
huo ndio ukweli ingawa unauma
 
hujui hata sheria ya ndoa inasemaje ,mtu ukisha ishi naye miezi mitatu huyo ni mke wako halali.katafute kwenye kamusi tofauti kati ya mke na mchumba,
 
huwa sipendi unafiki wa kuona nyekundu na kusema njano.
upo kiushabiki na c hali halisi iliyopo.
dr. slaa alipendwa na co anapendwa.
huo ndio ukweli ingawa unauma

jifariji tu mkuu,utauona mziki wa chadema mwakani,inaweza kuwa sawa kaloleni,ccm kura 12,chadema kura 600
 
kwenye red, hiyo ndo rangi yako halisi.
pili huyo rais ajaye wa nini? TFF? cheneta? au baraza la maaskofu? hujaeleweka.

Ukweli ulio dhahili Slaa ni chaguo la Mungu kwa sababu kila siku mvuto wa kisiasa unaongezeka tu,hao wengine wote ni wapambaji tu wa harusi kwani hakuna harusi isiyo na wapambe.Kama mpaka vijiini ukienda ukiuliza raisi ajaye nani wanakujibu ni dr.Mpaka najiuliza hivi ni malaika wa Mungu wanaolitangaza hilo jina,kwa sababu vijiji vingine vya ndani kabisa nchini kama nkonko ,lidumbe,kasindago
,itigi,chimate,lwiro,
liparamba ,ng'apa,mbesa,izazi,
viongozi wa chadema hawakujui lakini wananchi wake wanaijua chadema na kuithamini.vijiji ambavyo chadema haina hata balozi .Sasa nimeamini maneno yaliyopo kwenye misaafu kwamba "hata msipotaka kulitangaza neno langu ,ndege wa angani ,miti na mimea vyote vitalitangaza neno langu".Hilo neno ni chadema,mamba hawezi kutembea peke yake,hivyo katika msafara wa mamba lazima kenge wawepo
 
Mimi sio CCM LAKINI Chaguo la mungu nimeonyeshwa na kuoteshwa ni Lowasa tu. Samahani wenzangu.
 
Hata hivyo mshauri aoe kwanza ndo agombee, hatuwez kuongozwa na bachelor, amuoe huyo mpayukaji josephine ambae sasa anatambulika kama mchumba wake!

Akiwa mtawala wetu kutakua na tofauti gani kati ya madaraka ya Nchi na madaraka ya Kanisa? Sipati picha.
 
Ni kweli kabisa Dr slaa anafaa kuwa Rais wa nchi yetu vigezo vyote ametimiza.
Tatizo ninaloliona kwa chama tawala nikianzia kwenye katiba mpya walivyoamua kuyakataa maoni ya wananchi mchana kweupe, naanza kuamini hata Dr Slaa akipigiwa kura akashinda ccm hawawezi kukubali hilo liko wazi.

Kama mvutano wa katiba mpya ambayo wataalam waliobobea wakiongozwa na jaji Warioba imekataliwa na kikundi cha wahuni hawa wa ccm unategemea kwenye kura watakubali?

Kama inawezekana namuomba Dr Slaa akagombee ubunge ili akaibane serikali bungeni maana hawa ni wachafu sana hawataachia madaraka.na kwa kukuhakikishia wale viongozi wa juu wa jeshi letu wanakadi za ccm.
 
Mzinzi awe rais? Unachekesha kweli wewe.

Umesahau kuwa usihukumu usije ukahukumia.Unamuonyeshea kidole mtu kwa kidole kimoja halafu hujui kuwa kuna vingine vitatu vinakuangalia wewe vinakuuliza je ww hauko hivyo.jifunze kumpinga mtu kwa hoja c kwa maneno ya kulishwa tena ya kwenye kanga.
 
Familia ya watu 5 imemshinda ,ataiweza ya Watu million 5?wakati akiwa Padre alizaa na mwanakwaya wake,Babu ajamaliza michezo ,Anakula Ujana,wakati yupo Boss wa CDM kazaa tena PS wake, Babu Mkariii!!
 
nani kakwambia kiwa halima mdee ni muongo,rudia andiko langu.nimesema kuwa huyu tibaijuka hana lolote na wala si mchapakazi na zaidi nae ni fisadi tu.nenda kwenye mradi mpya wa kigamboni uone yeye anamiliki hekali ngapi kwenye ule mradi.mwizi sana yule mama hana lolote

umeama mada iliyopo rudi kwenye mada haraka!!!!!
 
Ningeshanga km naye angesema atagombea urais......mbona chama chake kimekufa '''ukawa'' sikatiba tu nayo imewashinda wamekimbia mbungen.
 
Simple calculations.......

Unayo timu ina wachezaji A na B ambao ni ma goal keeper.

Timu Pinzani inapenda sana mchezaji A akikaa golini.

Timu Pinzani haipendi kabisa mchezaji B akikaa golini.

Wewe kama Kocha utampanga Mchezaji yupi ambaye atakuwa threat kwa timu Pinzani?

Cc FaizaFoxy ifweero Lizaboni @
 
Last edited by a moderator:

Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa

DK. Willbroad Slaa "Sifikirii kuelekeza nguvu zangu kwenye kuwania urais 2015 wapo watu wengi wenyesifa ktk kundi la UKAWA.Kila kitu kitafanywa kwa wakati muafaka, kazi iliyopo mbele yangu ni kupigania umoja wetu wa UKAWA ili kuleta ushindani wa kweli katika uchaguzi 2015.

Akizungumzia hatua ya UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba Dk. Slaa alisema umoja huo uko sahihi kwani umesimama upande wa wananchi, niaheshimu uamuzi wa Viongozi wangu Mh Freeman Mbowe Prof Ibrahim Lipumba na James Mbatia.


UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la kutengeneza Katiba sio suala la rais, serikali wala chama chochote bali ni la wananchi.

Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya Tume ya Jaji Joseph Warioba."


Chanzo: Mtanzania Juni 11, 2014


My take:
Dr slaa ni kiongozi mtiifu

Huyu Dr hajawahi kuupenda Urais kama wengine!! Hata 2010 aliombwa tu!! Huyu ndiye Rais anayetufaa tu!! Tutamshawishi tena!! tuongeze nguvu za kampeni!! My HUMBLE president!!
 
Simple calculations.......

Unayo timu ina wachezaji A na B ambao ni ma goal keeper.

Timu Pinzani inapenda sana mchezaji A akikaa golini.

Timu Pinzani haipendi kabisa mchezaji B akikaa golini.

Wewe kama Kocha utampanga Mchezaji yupi ambaye atakuwa threat kwa timu Pinzani?

Cc FaizaFoxy ifweero Lizaboni @
Simple B of course!!!
 
Mzinzi awe rais? Unachekesha kweli wewe.
Laana tuliyoipata ya kumuweka muasherati na mzinzi mchafu kuliko wote ikulu huioni hadi leo!? Miaka kumi ya laana inaishia siku za karibuni!! Mtu hata watoto hawajui mama zao!! Damn!! Ndoa ngapi zimevunjika toka 2005 hadi leo unajua? fuatilia ndoa za ma DC na mawaziri na hivi karibuni yule mdada wa mwanza kashindwa kuolewa sababu ya rais mzinzi!!-- Endelea nitakupa mengine umpelekee IGHONDU!! stupid!
 
Back
Top Bottom