bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,360
Dr Slaa ahanza mazungumzo ya siri na Prof. Anna Tibaijuka ili ajiynge na Chadema na mgombea Urais. Aliendelea kumshawishi na kumuhakikishia kwamba wao kama ukawa wamefikia maamuzi hayo na yeye kuteuliwa kufanya juu chini ya kuanza mazungumzo ya kumshawishi ili aweze kuwa mgombea kwa upande wa Ukawa kwa kuwa wao wamemwona ni mwanamama mchapa kazi na ni Mtanzania wa kwanza kufanya kazi UN kwa muda mref wa miaka 17 bila kuboronga. pia so fisadi na ni mwadilifu ktk kila sects alizofanya kazi tens kea uledi wa hali ya juu. Nduguzangu nawaombeni mlio Malibu na Prof. mumshauli asikubali kuungana na wachumia tumbo. source Lwakatare
Of all the people eti Tibaijuka kweli,eti siyo fisadi.Hahahahahahahahahahahahahahahaha ntapasua mbavu zangu bure mimi hapa.Bajeti yake tu imepita kwa huruma za Mwenyezi Mungu la sivo alikuwa amekalia kuti kavu.Wizara ya ardhi na maendeleo ya makazi ni wizara ya pili kwa uozo ya kwanza ni nishati na madini.Ok tell me kama kweli mama Tibaijuka ni mchapakazi nini ameshakifanya kipya ndani ya wizara ambacho kinaweza kumtofautisha na watangulizi wake katika wizara hiyo ya ardhi????????