dr.malulu
Senior Member
- Jun 26, 2013
- 133
- 60
Mwasisi wa Chama Cha TANU ,mzee Lameck Bogohe (93),amesema anaestaihili kuwa rais wa awamu na tano ni katibu wa chama cha demokrasia na maendeleo Dr.WIlbroad Slaa TU.bogohe ambaye ni kati ya waasisi wawili walio hai ameyasema yao alipokua akihojiwa na mwandishi wa gazeti la jamhuri.
Pia alipourizwa kuhusu nan anatahil kwa upande wa ccm,mzee bogohe aliwataja watu wanne ambao ni ,magufuri,pinda,mwakyembe na mwandosya.Pia aliongeza ubora wa Mzinge Pinda kua si madhubuti kwa kua si mwepesi wa kutoa maamuzi.Alipohojiwa kuhusu waziri wa zamani mh.Lowasa alisema ana shaka na uweo wake na kwamba ana kashifa ya Richmond ambayo bado haikuwahi kuwekwa sawa kwa wananchi ili kumfanya lowasa aeleweka kutohusika kwako na sakata hilo.
"Nchi hii imepungukiwa mabo mengi sana,hasa kilimo tangu ujamaa(siasa ya ujamaa na kujitegemea),saa hivi hatuna mabwana shamba na ma bibi shamba,cha kushangaza ofisi ziko wazi na watu wanaendelea kulipwa mishahara.Mashamba mengi yako vijijini lakini mabwana shamba wengi wako mjini wanapiga kiwi viatu badala ya kuvaa buti na kofia vijijini.
Mzee ameenda mbali zaidi kwa kusema "Na sisi watawaliwa tuache ujinga wa kunyamazia haki zetu,mtu akikosea tupige kelele ili aone aibu na pengine sheria ichukue mkondo wake.Amewataka watanzania wnye mapenzi mema wahame ccm wajiunge na vyama vya upanzani ili kuchochea mabadiliko na kuleta mageuzi nchini,anawashangaa watu wangangana na ccm kwa lengo la kujipatia fedha zisizo halali na wizi uliopindukia.Mzee bogohe anashauri umoja wa katiba UKAWA wasitengena ili waongeze nguvu na kuingoa ccm madalakani.
Chanzo Gazeti la Jamhuri.
Wazee nao sasa hivi wanaona Jahazi limewashinda watawala......Nawaza sana
Pia alipourizwa kuhusu nan anatahil kwa upande wa ccm,mzee bogohe aliwataja watu wanne ambao ni ,magufuri,pinda,mwakyembe na mwandosya.Pia aliongeza ubora wa Mzinge Pinda kua si madhubuti kwa kua si mwepesi wa kutoa maamuzi.Alipohojiwa kuhusu waziri wa zamani mh.Lowasa alisema ana shaka na uweo wake na kwamba ana kashifa ya Richmond ambayo bado haikuwahi kuwekwa sawa kwa wananchi ili kumfanya lowasa aeleweka kutohusika kwako na sakata hilo.
"Nchi hii imepungukiwa mabo mengi sana,hasa kilimo tangu ujamaa(siasa ya ujamaa na kujitegemea),saa hivi hatuna mabwana shamba na ma bibi shamba,cha kushangaza ofisi ziko wazi na watu wanaendelea kulipwa mishahara.Mashamba mengi yako vijijini lakini mabwana shamba wengi wako mjini wanapiga kiwi viatu badala ya kuvaa buti na kofia vijijini.
Mzee ameenda mbali zaidi kwa kusema "Na sisi watawaliwa tuache ujinga wa kunyamazia haki zetu,mtu akikosea tupige kelele ili aone aibu na pengine sheria ichukue mkondo wake.Amewataka watanzania wnye mapenzi mema wahame ccm wajiunge na vyama vya upanzani ili kuchochea mabadiliko na kuleta mageuzi nchini,anawashangaa watu wangangana na ccm kwa lengo la kujipatia fedha zisizo halali na wizi uliopindukia.Mzee bogohe anashauri umoja wa katiba UKAWA wasitengena ili waongeze nguvu na kuingoa ccm madalakani.
Chanzo Gazeti la Jamhuri.
Wazee nao sasa hivi wanaona Jahazi limewashinda watawala......Nawaza sana