Makamanda wa cdm Katibu wa chama, mwenyekiti wa chama, na mbunge aliye likizo wamekamatwa alfajir ya leo na kufikishwa central dsm, km kawaida nguvu ya umma tuungane kupigania haki..
Nilivyomuelewa Dr. Nchimbi ni kwamba amesema ''Serikali haihitaji ruhusa kumlinda mtu'' Kwa hiyo viongozi wa Chadema wasishangae kuona kwamba kuna watu wanawafuatafuata kila pahali,hao watu wapo kazini,and it does not necessarily mean kwamba wametumwa kuwadhuru. Kumbuka jinsi Olof Palme alivyouawa,yeye na mke wake;they were walking home from a movie at night. Kiongozi anatakiwa kuwa na protection all the time. Kama kiongozi anatembea bila ulinzi,this is because it is assumed kwamba nchi yetu ni salama. Lakini kumbuka kuna vibaka wengi.
Sasa hivi nadhani what we need is a return to religion;kwa sababu the country is sliding towards corruption,haya matatizo hayatakwisha if you just tinker with the problem. Lazima tufanye,what Chairman Mao used to call a fight against erroneous ideas.
Kazi ya Polisi,kazi ya Usalama wa Taifa ni kazi ya Mungu. Nadhani hata tukienda Mbinguni watakuwepo polisi na watakuwepo Usalama wa Taifa;nadhani ikihitajika mtu awekwe kizuizini,ni hawa hawa Usalama wa Taifa ndio watakuweka kizuizini. Kwa hiyo it is imperative kwamba polisi na Usalama wa Taifa wanazifanya kazi zao with professionalism. Iwapo hizo taasisi zitatumika kwa maslahi binafsi,basi watu watakosa imani na polisi,watakosa imani na Usalama wa Taifa.
Polisi imeanzishwa na Waingereza;hii Serikali ya sasa wameikuta tu polisi. Hata hiyo Usalama wa Taifa,nadhani ilikuwepo equivalent ya Usalama wa Taifa inafanya kazi wakati wa Ukoloni,labda inashirikiana na mi5 au mi6. Haya majeshi ni lazima yawe professional katika utendaji kazi wake. Hawa polisi wanakwenda katika police training schools za kimataifa. Training anayopata polisi wa hapa ni ile ile anayopata polisi wa Uingereza,wote wanafanya kazi hiyo hiyo,the scientific detection of crimes. Kwa hiyo unaweza kumpa polisi amri akasema kwamba,this is a very unusual command kumpa polisi,ukifikiria kwamba polisi anafanya kazi ya kuwalinda raia. Hali kadhalika Usalama wa Taifa,amekuwa trained abroad, kwa mfano hapa Usalama wa Taifa wengi wamepata training Israel. Nakumbuka a years ago Benjamin Natanyahu alikuwa anasema,'' Tunalaumiwa kwa kuwakingia kifua watu waovu. Hakuna kinga kwa waovu. There never has been'' Yaani anasema in the history of the world there has never been protection for evil people,kwamba yeye ,au Waisraeli wanaamini kwamba hii Dunia inafanya kazi kwa kufuata sheria za Mwenyezi Mungu.
Kwa hiyo tunazielewa vipi sheria za Mwenyezi Mungu,tunazielewa vipi Amri Kumi za Mungu? Kwamba ni amri zinawahusu raia tu,hazimhusu polisi au Usalama wa Taifa? Kwa hiyo tunahitaji kuwa na national reconciliation,tuahidi kwamba tutaishi kwa amani kuanzia sasa. Lakini hata tukiamua kwamba kuanzia sasa tutaishi kwa amani,pia decisions will have to made kuhusu makosa ambayo tayari yameshatokea,kama makosa yoyote yametokea. What are we going to do kuhusu watu ambao wanadhani kwamba hawakutendewa haki?