Kusema kweli mimi sipo na chama chochote kile cdm wakielekea pabaya nakemea,hata ccm nakemeaMbona unawashauri ujinga wenzio,mbona wewe uko kwenye chama chako chadema kuna udini,ukabila,undugu,ujirani na urafiki mwema katika kupeana vyeo ndani ya chama na ata nje ya chama kama vile viti maalum haya yote yanaongozwa na uongozi mbovu wa chadema,mbona hujitokezi kufanya mapinduzi?safisha kwanza kwako ndiyo ukasafishe na kwa mwenzio!
CHAMSINGI NI KADI YANGU YA KUPINGIA KURA>>>> MIMI SIANGALII CHAMA>>>NAANGALIA MAENDELEO MH.