Mzee Makamba aliwahi kusema 'Ukifanikiwa kuwaondoa Mbowe na Dkt. Slaa CHADEMA itakufa'

Boi Manda

JF-Expert Member
Oct 26, 2023
388
506
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Kama Mbowe akiendelea kuwa mwenyekiti kwa nguvu ya dola na CCM ndiyo Chadema itakufa kwani hawatapata diwani au mbunge hata mmoja labda wa kuzawadiwa na sponsor wao Samia
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Zama hizo makamba alikuwa hajui kuwa mbowe ni mwizi wa Hazina ya chadema alikuwa hajui madudu ya mbowe kipindi hicho mbowe alionekana mtu mwema sana kumbe ni mwizi mkubwa, sasa chadema wamesanuka hata Mbowe aondoke lije kuongoza jiwe tu chadema itadumu haiwezi kufa
 
Kama Mbowe akiendelea kuwa mwenyekiti kwa nguvu ya dola na CCM ndiyo Chadema itakufa kwani hawatapata diwani au mbunge hata mmoja labda wa kuzawadiwa na sponsor wao Samia
Kabla ya Lisu kutangaza nia ya kugombea kiti cha uwenyekiti CHADEMA chama cha CCM kilikuwa kinampiga madongo Mbowe kuwa king'ang'a sasa baada ya Lisu kugombea Mbowe anaonekana mtu wa dola na chama tawala
 
Lengo la ccm ni kulazimisha Mbowe awe mwenyekiti ili chadema ipasuke iwe kama TLP na CUF ya Lipumba uchaguzi wa 2025 uwe mwepesi kwa ccm
Halafu Mbowe amekubali kabisa chama kife maana haiwezekani iwe hajui lengo la CCM kumfadhili .
 
Kabla ya Lisu kutangaza nia ya kugombea kiti cha uwenyekiti CHADEMA chama cha CCM kilikuwa kinampiga madongo Mbowe kuwa king'ang'a sasa baada ya Lisu kugombea Mbowe anaonekana mtu wa dola na chama tawala
Halafu Mbowe anachekelea kuchukua mabilioni ya Samia huku anajua ndiyo kaburi la Chadema. Hakuna mtu mwenye akili timamu atakuja kuisapoti na kuiamini tena Chadema chini ya Mbowe. Ameona bora chama kife yeye avune mabilioni yake aachane na siasa. Ametupotezea sana muda huyu mmachame.
 
Halafu Mbowe anachekelea kuchukua mabilioni ya Samia huku anajua ndiyo kaburi la Chadema. Hakuna mtu mwenye akili timamu atakuja kuisapoti na kuiamini tena Chadema chini ya Mbowe. Ameona bora chama kife yeye avune mabilioni yake aachane na siasa. Ametupotezea sana muda huyu mmachame.
Mbowe alishawahi kusema yeye amekisqpoti sana chama kwa hela yake
 
Kipindi cha Yusufu Makamba alipokuwa Katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Alipata kusema kuwa akiondoka Mbowe na Dr. Slaa kwenye chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) chama hicho kitakufa

Makamba alisema muhimuli wa CHADEMA uko kwa Mbowe na Dr. Slaa kwamba watu hawa ndio nguzo ya chama hicho

Dr. Slaa alishakwenda na maji kwenye utawala wa mwendazake baada ya kuhongwa ubalozi na kuondoka CHADEMA kisa Edward Lowasa kujiunga chama hicho na kuwa mgombea wa uraisi

Mtu pekee mwenye msimamo aliyebakia ni Mbowe sasa kama mwamba huyu naye atang'oka kwenye uchaguzi wa mwenyekiti huenda kauli ya Mgosi Makamba ikatimia CHADEMA kikafa natural death kifo cha mende

Makamba kwa kipindi hicho hakuona Tundu Lisu kama tishio kwa chama hicho zaidi ya Mbowe na Dr. Slaa

Comasa
Rejea aliyosema JK kuhusu tundu Lissu pia.
 
Makamba alisahau kusema CCM bila tume ya uchaguzi iliyojaa makada, polisi , usalama wa taifa haiwezi kufua dafu hata kwa TLP.
 
Back
Top Bottom