jaribu kushirikisha ubongo wako wakati wa kichangia itakusaidia
na ungepimwa kwa elimu tu, ccm isingekuwa hivi ilivyo maana wana mbunge hadi wa darasa la saba tena mtaalam maalum!Kwakweli nchi hii inahitaji rais atkae ipeleka mbele, mwenye maamuzi yenye faida kwa watanzania wote bila kujali itikadi,rangi,dini,elimu ya mtu hata awe drs la pili.tujiulize chama kinachotuongoza hakina wasomi kama wapo mbona mambo yapo hivi. UongOzi haupimwi kwa elimu tu.
Sema wasiwaharibie ulaji wenu, wachumia tumbo.lazima watoe ushahidi wa tuhuma walizozitoa, wasituharibe amani yetu kwa uroho wa madaraka
Wakuu,
Nimearifiwa kuwa Mh Mbowe, Slaa na Lema wako Central Muda huu. Hajanieleza kwanini wamekamatwa. Nikipata details nitaziweka hapa.
Updates 1
Ninaomba kuthibitisha kuwa habari hizo ni za kweli, nimewasiliana na katibu wa Chadema kanda maalum ya Dsm.
UPDATES 2
Waliokuwa polisi ni Dr Slaa na Lema tu. wameambiwa warudi Jumatatu. Nimeambiwa na Mmoja wa waliokuwepo eneo la tukio kuwa Dr alisisitiza kuwa wafanyie kazi taarifa za nyuma kwanza ndipo wawahoji.
UPDATE 3
Mosi walitakiwa kituoni ni Slaa na Lema tu.
Pili, wameshaachiwa wote, wametakiwa kurudi jumatatu.
Tatu, baada ya pale waliongea na waandishi wa habari na Dr Slaa aliwasisitizia kuwa lazima wafanyie taarifa za awali (Wenje na Mbunge mwenzake) ndipo wawe na sababu ya kuwahoji kuhusu sakata hili jipya.
Michael P.Awenda wewe ni mwongo sana na taarifa yako hii yote ni ya kutaka watu watahaaruki,kama walivyofanya Zanzibar,hakika wewe si mpenda AMANI bali ni mchafuzi wa AMANI.
Taarifa sahii ni kuwa viongozi hao wote hawajakamatwa bali Dr.wa Ukweli yaani Dr.Slaa yuko Kakola,kahama akiendelea na M4C toka juzi alikuwa Kijiji cha ILOGI,BUGARAMA na jana alimalizia KAKOLA na ameondoka leo huko.
Michael Awenda hamia facebook ukawadanganye huko.
Michael P.Awenda wewe ni mwongo sana na taarifa yako hii yote ni ya kutaka watu watahaaruki,kama walivyofanya Zanzibar,hakika wewe si mpenda AMANI bali ni mchafuzi wa AMANI.
Taarifa sahii ni kuwa viongozi hao wote hawajakamatwa bali Dr.wa Ukweli yaani Dr.Slaa yuko Kakola,kahama akiendelea na M4C toka juzi alikuwa Kijiji cha ILOGI,BUGARAMA na jana alimalizia KAKOLA na ameondoka leo huko.
Michael Awenda hamia facebook ukawadanganye huko.
Mkuu wangu kwa heshima yako muombe radhi Michael Aweda! Umesoma tarehe ya hii habari? Kuwa makini mkuu
wewe unastahili BAN kwa kuweka thread ya zamani na kusababisha usumbufu usio wa lazima!!Wakuu,
Nimearifiwa kuwa Mh Mbowe, Slaa na Lema wako Central Muda huu. Hajanieleza kwanini wamekamatwa. Nikipata details nitaziweka hapa.
Updates 1
Ninaomba kuthibitisha kuwa habari hizo ni za kweli, nimewasiliana na katibu wa Chadema kanda maalum ya Dsm.
UPDATES 2
Waliokuwa polisi ni Dr Slaa na Lema tu. wameambiwa warudi Jumatatu. Nimeambiwa na Mmoja wa waliokuwepo eneo la tukio kuwa Dr alisisitiza kuwa wafanyie kazi taarifa za nyuma kwanza ndipo wawahoji.
UPDATE 3
Mosi walitakiwa kituoni ni Slaa na Lema tu.
Pili, wameshaachiwa wote, wametakiwa kurudi jumatatu.
Tatu, baada ya pale waliongea na waandishi wa habari na Dr Slaa aliwasisitizia kuwa lazima wafanyie taarifa za awali (Wenje na Mbunge mwenzake) ndipo wawe na sababu ya kuwahoji kuhusu sakata hili jipya.
wewe unastahili BAN kwa kuweka thread ya zamani na kusababisha usumbufu usio wa lazima!!
unamatatizo upstairs wewe? Mwenye kuleta usumbufu ni yeye alioleta thread kwa wakati au wewe ulieisoma kwa kukurupuka usieangalia hata tarehe? Jf imeingiliwa siku hizi
Wakuu,
Nimearifiwa kuwa Mh Mbowe, Slaa na Lema wako Central Muda huu. Hajanieleza kwanini wamekamatwa. Nikipata details nitaziweka hapa.
Updates 1
Ninaomba kuthibitisha kuwa habari hizo ni za kweli, nimewasiliana na katibu wa Chadema kanda maalum ya Dsm.
UPDATES 2
Waliokuwa polisi ni Dr Slaa na Lema tu. wameambiwa warudi Jumatatu. Nimeambiwa na Mmoja wa waliokuwepo eneo la tukio kuwa Dr alisisitiza kuwa wafanyie kazi taarifa za nyuma kwanza ndipo wawahoji.
Ukome kutowa tarifa za kipuzii za kimangamba, ama kweli mtoto wa nyoka ni nyoka.