Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Status
Not open for further replies.
Alikuwa roma na akaishi kama warumi.sasa kaondoka ,ya warumi kawaachia.
 
Dawa yao ni kukata tu hata kwa panga butu....kata tu
 
Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri

Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz

Source.JJ Mnyika,front page Nipashe

Ni kimbunga cha mabadiliko... Hakikwepeki
 
tatizo ni mfumo, na sio mtu...
mabadiliko yanahitajika.

Mfumo una tatizo lipi? Au wewe kwako mfumo mzuri ni kwa yule anaeyanunuwa madaraka kwa thamani yoyote ile?

Huwa nnawashangaa sana, mlikuwa mnamwita fisadi, Jee Fisadi kawanunuwa? Fikiri.

Binadam msiokuwa na msimamo?

Unafiki wa Mbowe ulijionesha pale alipopeleka gari la zamani mlango wa mbele akachukuwa jingine jipya mlango wa nyuma, lilipobainika hilo bado hamkuuona unafiki wale? Na leo Slaa hana maana tena zaidi ya yule aliyekuwa "fisadi"?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri

Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz

Source.JJ Mnyika,front page Nipashe

Vipi kuhusu mzee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom