Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri
Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz
Source.JJ Mnyika,front page Nipashe
Kaishapewa fungu lake maaana huyu padre kwa pesa balaaa.
Jino kwa jino mkuuSie wakristo tunasamehe mara saba sabini sasa sijui wewe mwenzangu huko upande wa pili ipo vipi jihadi ama.
Vipi, shetani kawa malaika?
Vipi, shetani kawa malaika?
Vipi, shetani kawa malaika?
tatizo ni mfumo, na sio mtu...
mabadiliko yanahitajika.
Vipi, shetani kawa malaika?
Vipi, shetani kawa malaika?
Kweli unaweza kumuita binadamu shetani?
tatizo ni mfumo, na sio mtu...
mabadiliko yanahitajika.
Vipi, Malaika kwa shetani?
Nafikiri ni mtu anayeweza kusimamia kile anachokiamini.Slaa alishaonya hahitaji kusemewa, akitaka kusema atasema yeye mwenyewe!
Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri
Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz
Source.JJ Mnyika,front page Nipashe
Sie wakristo tunasamehe mara saba sabini sasa sijui wewe mwenzangu huko upande wa pili ipo vipi jihadi ama.