Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Status
Not open for further replies.
Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri

Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz

Source.JJ Mnyika,front page Nipashe

Mama Salma Kwaheri

Rizone Kwaheri

Kinana, Mzee wa Tembo Kwaheri

Nape mpiga kelele Kwaheri

Polepole mg.a.wa 0713 Kwaheri
 
Ajiandae kutubu nini kakuchukulia mke ?kwenye siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu .pole slaa yuko fiti kufunga magufuli yote na kumwaga pombe zote.

Neema nimekupenda bure
 
solex zote zirudi china!! kudadadeki
Hakika wanawake sasa mpo juu sana. Mnajitambua haswaaaa. Hongera sana dada na mama zetu msionunulika kwa kanga na t-shirt za maccm
 
EL ni mwajiriwa. aliajiriwa CCM ambao ni mafisadi na yeye ikabidi awe fisadi maana alifata maelekezo ya boss wake. sasa amehamia upande mwingine analazimika kufata maelekezo ya mabosi wake wapya wakiongozwa na Dr Slaa na Mbowe.
Yeye ndiye boss!
 
Kaishapewa fungu lake maaana huyu padre kwa pesa balaaa.

Kama zile 3.5 billion mlizompa mamluki wenu mkuu Ritz au tusemeja? Huyu hahongeki mkuu. Alikuwa katika maombi na mafungo makali. Chezea maombi wewe. Na Mungu amesema naye na amehuishwa tazama atatufikia kwa maneno ya unabii. Vivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Lowassa. Jiwe hili lilitupwa, wananchi wameliokota kwa kuwa ndilo walilolitaka tangu awali. Jiwe kikakatwa wananchi wanaenda kuchinja kabisa 25/10/2015
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: G3T
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom