Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,143
- 2,547
Naona nyumbu mnapoteza mwelekeo. Leo mnamtukana na kesho mnamsifia. Dr Slaa anawaumiza kichwa kweli
Kijana naona siku hizi imekunywa maji us Ukawa.
Naona nyumbu mnapoteza mwelekeo. Leo mnamtukana na kesho mnamsifia. Dr Slaa anawaumiza kichwa kweli
Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri
Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz
Source.JJ Mnyika,front page Nipashe
mwaka huu magamba yatawawasha sana kwa huu -----.
Muulize Mbowe kwenye bilioni 10 kaampa ngapi Dr wa Kanoni.Mlimpa ngapi yeye na Lipumba akasusa?! Maana inaelekea unajua vzuri miamala yake!!
Kaishapewa fungu lake maaana huyu padre kwa pesa balaaa.
Hilo neno kwamba katika siasa hakuna rafiki ama adui wa kudumu naona mnalitumia vibaya. Hili neno huwa linatumika watu wakiwa wametofautiana kwa sera ama mitazamo. Kwa hiyo aliyekuwa adui yako anaweza kubadili sera ama mtazamo hivyo mkakubaliana na uadui ukaisha. Kwa hili letu tunaongelea mmoja kumuona na kumtaja mwenzake kuwa ni fisadi. Kwa hiyo aliyekuwa fisadi si fisadi tena au alikuwa akisingiziwa?Ajiandae kutubu nini kakuchukulia mke ?kwenye siasa hakuna uadui wa kudumu wala urafiki wa kudumu .pole slaa yuko fiti kufunga magufuli yote na kumwaga pombe zote.
Kaishapewa fungu lake maaana huyu padre kwa pesa balaaa.
Mbona alikataa bilion kumi na mbili zenu CCM kama angekuwa na uroho na fedha.Kaishapewa fungu lake maaana huyu padre kwa pesa balaaa.
Hilo neno kwamba katika siasa hakuna rafiki ama adui wa kudumu naona mnalitumia vibaya. Hili neno huwa linatumika watu wakiwa wametofautiana kwa sera ama mitazamo. Kwa hiyo aliyekuwa adui yako anaweza kubadili sera ama mtazamo hivyo mkakubaliana na uadui ukaisha. Kwa hili letu tunaongelea mmoja kumuona na kumtaja mwenzake kuwa ni fisadi. Kwa hiyo aliyekuwa fisadi si fisadi tena au alikuwa akisingiziwa?
usimuite mwenzako shetani. we jiuluze allah umemfanyia mangapi Tangu asubuhi?
Kaishapewa fungu lake maaana huyu padre kwa pesa balaaa.
Simama na chama mkuu usisimame na mtu hiyo siyo siasa.Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri
Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz
Source.JJ Mnyika,front page Nipashe
Vipi, shetani kawa malaika?