Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Status
Not open for further replies.
Kweli nimeamini Slaa anamsimamo na anasimamia kile anachokiamini.Siyo kama manyumbu fulani yanayocheza ngoma ya Dj bila kujielewa.Hongera Slaa napenda wanasiasa wa siasa kama zako popote ulipo wafuasi wako tutakufuata.
 
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana na haina mwisho.Chadema walianza kuwabagua waislamu wakamaliza sasa wameanza kuwabagua wakatoliki(Dr Slaa na wenzake) wanajazana walutheri tu(Mbowe,Sumaye,Lowassa).
 
Imekula kwenu nyie magamba tunataka mabadiliko miaka 53 hamuoni fikra zenu pia zimezeekaa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom