Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Dr. Slaa kuzindua kampeni za UKAWA

Status
Not open for further replies.
mkuu wamesahau kuwa huyo wanayemwita Mungu wao ndio miongon mwa aliyewafikisha hapa.

Leo kawanunua kwa pesa wanamwangukia kumwabudu. Kweli uelewa wa vijana siku hizi upo chini kama kuku

Hivi escrow, meremeta nk, EL alikuwepo eh? Na wahusika wamehamia ukawa? Nimeuliza tu.
 
Umetemwa na si wa mwanzo wewe na hautokuwa wa mwisho.
Hata itakua gun point imetokea nina ballot paper mikononi kulazimishwa kupigia ccm basi nipigwe tu na risasi.hata mwenyewe miaka 51 sijafka. Tz bila ccm inawezekana But Tz bila Mh LOWASSA nisawa kuishi Mogadishu kwa risk yako mwenyewe
 
hebu tupe hoja ni kipi kilichokufanya uamin ukawa ni bora kuliko ccm?

Dwns,Rchmond,EPA,fresh Escrow n.k, Mwangosi,Dr Ulimboka,Utoroshaji wa lvory, Ku PIGWA KWA PROF LIPUMBA sijapata justifiable reasons ndani ya 51yrs.in short poor governance na human rights track record mbaya ndio sababu ya kupigia kura UKAWA kama hujaelewa niache its my right.
 
Hata itakua gun point imetokea nina ballot paper mikononi kulazimishwa kupigia ccm basi nipigwe tu na risasi.hata mwenyewe miaka 51 sijafka. Tz bila ccm inawezekana But Tz bila Mh LOWASSA nisawa kuishi Mogadishu kwa risk yako mwenyewe

Tanzania hii ya Kikwete hakuna ataekulazimisha kufanya usilolipenda, hayo labda kabla ya Kikwete, bado hujiamini tu?
 
Tanzania hii ya Kikwete hakuna ataekulazimisha kufanya usilolipenda, hayo labda kabla ya Kikwete, bado hujiamini tu?

Ndio mana nimechukua maamuzi magumu. ccm pereka makumbusho hiyi ni 21st century
 
Kwa mafuriko yaliyotokea jana inatosha kusema slaa aendelee kupumzika mpaka atakapoitwa tena muda ukifika amekosa nafasi ya kihistoria ya kuwa pamoja na viongozi wenzake.
 
Acha kujitoa ufahamu hujaelewa nini hapo kwani hao nao si waislam.

Kuwa Muislam haimaanishi unafata mafundisho ya Uislam - Kumbuka hilo.

Na kuwa Mkristo pia haimaanishi unafata mafundisho ya Yesu - kumbuka na hilo pia.
 
@Dr.W.Slaa nadhani kwa heshima kubwa waliyokupa wanachama na watanzania ni vizuri ukakaa pembeni kwa amani na kwa heshima. Kukaa kwako Kimya hakumaanishi kushindwa lakini kuwa sehemu ya adui kipindi hiki cha vita dhidi ya CCM nayo siyo muda muafaka kuwa sehemu ya maadui wa Wapiganaji ulikuwa nao miaka 20 iliyopita.

Ni wazi wengine wameumia na hatua iliyochukuliwa na Chama chako/chetu-lakini maisha lazima ya endelee na vita yetu dhidi ya ukiritimba wa CCM lazima iendelee-kama lowassa ni Muwaarobaini wetu wa muda basi tuutumia kwa muda hussika akitushindwa tumbwage.

Naamini wengi wangetamani uwepo wako kwenye harakati hii kuelekea 25.10.2015 -yoyote Mungu akujaze uvumilivu.

Busara na Uadilifu wa kawaida na wa Kiimani uliyoishi miaka zaidi ya 50 iliyopita ikongoze kufanya jema kipindi hiki.
 
Dr.W.Slaa nadhani kwa heshima kubwa waliyokupa wanachama na watanzania ni vizuri ukakaa pembeni kwa amani na kwa heshima. Kukaa kwako Kimya hakumaanishi kushindwa lakini kuwa sehemu ya adui kipindi hiki cha vita dhidi ya CCM nayo siyo muda muafaka kuwa sehemu ya maadui wa Wapiganaji ulikuwa nao miaka 20 iliyopita.

Ni wazi wengine wameumia na hatua iliyochukuliwa na Chama chako/chetu-lakini maisha lazima ya endelee na vita yetu dhidi ya ukiritimba wa CCM lazima iendelee-kama lowassa ni Muwaarobaini wetu wa muda basi tuutumia kwa muda hussika akitushindwa tumbwage.

Naamini wengi wangetamani uwepo wako kwenye harakati hii kuelekea 25.10.2015 -yoyote Mungu akujaze uvumilivu.

Busara na Uadilifu wa kawaida na wa Kiimani uliyoishi miaka zaidi ya 50 iliyopita ikongoze kufanya jema kipindi hiki.

Kakaa kimya au katishwa akae kimya?

Hujamsikia alipopata fursa?

Hivi kwanini mnapenda kupinda maneno?

Sasa hivi anajuta, huyo daktari wa kanoni padri @drw.slaa niliwahi kumwambia humu humu JF kuwa ngoja kuna siku wachagga watakugeuka, yametimia.

Niliwahi kumwambia na Zitto kupitia humu humu JF.

Wachagga hawana maslahi zaidi ya kwake mwenyewe, hata uwe ndugu na mchagga basi kwa maslahi yake hana udugu.

Nnauhakika hao akina Mbowe na Mtei hii yote ni baada ya kulamba mshiko kwa maslahi yao, lakini misukule hamuyaoni hayo.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mzee tangu aliposusa mimi namuona ni mnafiki balaa.......hata awepo au asiwepo mabadiliko ni lazima ndani ya nchi hii......


Basi inawezekana hata kabla huko unakokuita kususa ulikuwa humkubali sana. Iweje wewe tu
 
Kakaa kimya au katishwa akae kimya?

Hujamsikia alipopata fursa?

Hivi kwanini mnapenda kupinda maneno?

Sasa hivi anajuta, huyo daktari wa kanoni padri @drw.slaa niliwahi kumwambia humu humu JF kuwa ngoja kuna siku wachagga watakugeuka, yametimia.

Niliwahi kumwambia na Zitto kupitia humu humu JF.

Wachagga hawana maslahi zaidi ya kwake mwenyewe, hata uwe ndugu na mchagga basi kwa maslahi yake hana udugu.

Nnauhakika hao akina Mbowe na Mtei hii yote ni baada ya kulamba mshiko kwa maslahi yao, lakini misukule hamuyaoni hayo.


Vipi na wewe Lumumba unapokea kiasi gani?

Unazungumzia fursa hii hapa chini.
Dr.Busara itamuongoza-unajua mlichomfanyia Mang'ula mwisho mlifanya nini kama siyo wenyewe kula matapishi yenu.
Busara inaelekeza kuwa na uvumilivu katika maisha na ukweli mara nyingi huchelewa kueleweka lakini vile vile maisha yanachangamoto siyo kila utakacho kiwe ndiyo iwe hiyo.

Kwa maisha aliyopitia sidhani Dr.Slaa anaweza kufanya maamuzi yatakayo waumiza wanachadema katika safari hii ya Miezi mitatu maana baada ya hapo hujui nini kitaendelea.Kutoelewana ni sehemu ya Maisha ya Binadamu.

Jiulize kama CCM kweisha habari yao hapo Oct.2015 nini kitafuata?
Jiulize UKAWA wako Magogoni nini kitafuata?
Jiulize UKAWA wameshindwa nini kitaendelea?


 
Acha ukabila na akili ndogo kiasi hicho. Siku hizi hata watoto hawafikirii kipuuzi kiasi hicho.
 
Kakaa kimya au katishwa akae kimya?

Hujamsikia alipopata fursa?

Hivi kwanini mnapenda kupinda maneno?

Sasa hivi anajuta, huyo daktari wa kanoni padri @drw.slaa niliwahi kumwambia humu humu JF kuwa ngoja kuna siku wachagga watakugeuka, yametimia.

Niliwahi kumwambia na Zitto kupitia humu humu JF.

Wachagga hawana maslahi zaidi ya kwake mwenyewe, hata uwe ndugu na mchagga basi kwa maslahi yake hana udugu.

Nnauhakika hao akina Mbowe na Mtei hii yote ni baada ya kulamba mshiko kwa maslahi yao, lakini misukule hamuyaoni hayo.




Katika nchi yenye demokrasia,katika nchi yenye vyombo vya dola vyenye ujuzi wa kila namna,chama tu kisicho na dola kizuie mtu ndani bila Tiss kusaidia hili?,, vinginevyo uniambie kuwa vyombo hivyo vimezidiwa nguvu na Chadema na hali hiyo itaonesha chadema inafaa kuingia Ikulu!
 
Last edited by a moderator:
Katika nchi yenye demokrasia,katika nchi yenye vyombo vya dola vyenye ujuzi wa kila namna,chama tu kisicho na dola kizuie mtu ndani bila Tiss kusaidia hili?,, vinginevyo uniambie kuwa vyombo hivyo vimezidiwa nguvu na Chadema na hali hiyo itaonesha chadema inafaa kuingia Ikulu!

Tatizo lako kubwa sana ni ujinga uliozaliwa nao, upo kwenye genes zako.

Hujasoma ikiandikwa humu kuwa Slaa katishiwa maisha yake? Au una kiherehere tu?

Unajuwaje kuwa hao hao unaosema wewe ndiyo wanaompa ulinzi sasa hivi?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Haya sasa kiko wapi?Mbona Dr Slaa jana hatujamuona siasa za unafiki na kipumbavu kweli mnaziweza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom