FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Ccm wapo icu .....
Ndivyo mnavyojidanganya?
Mimi naona Mbowe kawazidi ujanja, kalamba mshiko anawawachia misukule mhangaike na mgonjwa wenu.
Babu Slaa yuko wapi?
Ccm wapo icu .....
Ni panic mimi? unantazama kwa uoga nini?
Hivi kwa akili yenu Lowasa atatawala hii nchi? mimi nasema Mawee!
Hata mie naona wale boko haramu, lile kundi la islamic state, na wasomali nao usamehe wao hauna hesabu sasa hawa sijui wanaswalia baharini?
jipime iq ili ujitambue kiwango cha uelewa ulicho nacho maana kwa kauli kama hizi naufiria mara mbili uanachama wangu ndani ya c.c.m...
Kijakazi ebu tuimbe hii!!
Kama sio, kama sio JUHUDI ZAKO KIKWETEEE LOWASA TUNGEMPATA WAPIII X2
Ndivyo mnavyojidanganya?
Mimi naona Mbowe kawazidi ujanja, kalamba mshiko anawawachia misukule mhangaike na mgonjwa wenu.
Babu Slaa yuko wapi?
Nafsi yangu inaenda kutulia punde.
Dr Slaa anaenda kuzindua rasmi kampeni za uchaguzi.
CCM kwaheri
Kikwete kwaheri
Magufuli kwaheri
Mfumo fisadi kwaheri
Tunaenda kusimika utawala wa kujali haki za kiraia na binadam
Tunaenda kung'oa mifumo ya kinyonyaji na kiungu-mtu
Karibu Dr Slaa,the legend of political transformation in Tz
Source.JJ Mnyika,front page Nipashe
Wewe ni mshamba. umepitwa na wakati na haujui unachokitaka, unajifanya unajua watanzania tunachokitaka.
TUNAIKATAA CCM KWA NGUVU ZOTE NA SABABU YA KUIKATAA TUNAYO.
CCM IMESHINDWA NA KAMWE HAINA NIA YA KUTUKOMBOA VIJANA KUTOKA KWENYE UMASIKINI KWASABABU HAITENGENEZ FURSA ZA AJIRA...
MIMI CCM WANGEWEZA KUNIJIBU KATIKA MASWALA HAYA MATATU NINGEWAPA KURA YANGU:
1. KWANINI WAMEUA VIWANDA VYA UMMA NA WAMESHINDWA KUVIFUFUA.
2. ELIMU BORA IKO WAPI?
3. MIUNDOMBINU BORA IKO WAPI?
mimi hizo sehem tatu zinayagusa maisha yangu ya kila siku moja kwa moja, sasa sijui ww umetoka wapi huko unaropoka hovyo tu.. sisiem hatuitaki..
Naam, wala hujakosea, ushamba ndiyo jadi ya kila Mtanzania, wala si kituko Mtanzania kuwa ni mshamba - Kumbuka hilo.
Wewe huna hadhi wala haki ya kuwasemea "Watanzania".
Mtanzania anaejijuwa hawezi kwa miaka kumponda mtu kuwa fisadi huyo mtu akimuhonga fedha siku moan hiyo hiyo anageuka kutoka kuwa fisadi na kuwa mwema, siku moja hiyo hiyo anakuwa mbora kuliko wanachama aliowakuta kwenye chama na siku moja hiyo hiyo anakuwa mgombea uchaguzi wa hicho hicho chama kilichokuwa kinamwita fisadi.
Kama si ufisadi ni nini huo? Fikiri.
Mtanzania anakuwa na msimamo wa kizalendo anaepinga maasi na maovu bila kutetereka.
Leo misukule hata mpiga debe wenu mkuu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa mnamuona mbaya kwa kununuliwa na "fisadi".
Amma kwa hakika sasa nnaamini kuwa kila mchagga ana bei yake ya kujiuza.
Wewe ni mshamba. umepitwa na wakati na haujui unachokitaka, unajifanya unajua watanzania tunachokitaka.
TUNAIKATAA CCM KWA NGUVU ZOTE NA SABABU YA KUIKATAA TUNAYO.
CCM IMESHINDWA NA KAMWE HAINA NIA YA KUTUKOMBOA VIJANA KUTOKA KWENYE UMASIKINI KWASABABU HAITENGENEZ FURSA ZA AJIRA...
MIMI CCM WANGEWEZA KUNIJIBU KATIKA MASWALA HAYA MATATU NINGEWAPA KURA YANGU:
1. KWANINI WAMEUA VIWANDA VYA UMMA NA WAMESHINDWA KUVIFUFUA.
2. ELIMU BORA IKO WAPI?
3. MIUNDOMBINU BORA IKO WAPI?
mimi hizo sehem tatu zinayagusa maisha yangu ya kila siku moja kwa moja, sasa sijui ww umetoka wapi huko unaropoka hovyo tu.. sisiem hatuitaki..
Umeandika uji tu nilikua ccm nimetimkia UKAWA ubaki peke yako na michosho bye!!!!!!
Vipi, shetani kawa malaika?
No one like you Dr. Blessed father of politicians
Umeandika uji tu nilikua ccm nimetimkia UKAWA ubaki peke yako na michosho bye!!!!!!
Taratibu aiseee!!.........Hayo maswali tuanze kumuuliza lowasa maana ni mmoja wa wanaccm waliotufikisha hapa tulipo.
taratibu aiseee!!.........hayo maswali tuanze kumuuliza lowasa maana ni mmoja wa wanaccm waliotufikisha hapa tulipo.